Nani amukuambia lazima upendwe?, ni muhimu kujifanyia "self assessment" ili kujua Kama unaendana na watu ambao unaendesha nao mjadala au hapana, ukigundua kwamba walio wengi hawakuelewi kwasababu wao ni wajinga na hawana akili, ni Bora uachane nao na utafute kundi ambalo unaendana nalo.
Kwa mtazamo wangu ni kwamba, watu wengi hapa umewazidi akili, hawakuelewi kiasi kwamba umeanza kuwa ni kero kwao, Sasa usiendelee kujibishana na watu wajinga kwa muda mrefu, mwisho na wewe utaonekana ni mjinga Kama wao.
Kuna forum Moja hapa inaitwa' Great thinkers', ninahisi kule wewe kunakufaa zaidi kuliko hapa, wewe nenda kule, achana na hawa wajinga wanao mchukia rais wetu mpendws mama SSH.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app