Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Ngoja waje na maringo yao sasa
SCAM.!!
Ila Ngerengere ni kamandi ya Airforce na airbase pia!
Wakunya tunaobishana nao humu hawa ndio hivyo tena hatuna jinsi ndio washakua majirani zetu tuendelee tu kuishi nao tu huku wakiendelea kujifunza toka kwetu lakini ni mazezeta wa kushangaza!imagine mtu anatunza tiketi ya ndege ya miaka ya nyuma ili tu alingishie alipanda ndege!sidhani kama kuna Mtanzania ataweza kufanya kitu cha kijinga kileHawa wakunya mbona ni wapumbavu sana, kwnn wanaogopana namna hii?
Hahaha.Wakunya tunaobishana nao hawa ndio hivyo tena hatuna jinsi ndio washakua majirani zetu tuendelee tu kuishi huku wakiendelea kujifunza toka kwetu lakini ni mazezeta wa kushangaza!imagine mtu anatunza tiketi ya ndege ya miaka ya nyuma ili tu alingishie alipanda ndege!sidhani kama kuna Mtanzania mwenye za kijinga za hivyo
Okay, Kiswahili chake kilikua na ukakasi.Ni mzenji!
Mama yako ndio mkunyaWakunya wenzake wanajua ni mjinga ni vile tu wanaogopana.
Usimsahau babalevo...anaakili ya kuufanya ivo kwanza akibahatika kutoka nje ya danganyika kuelekea ughaibuni...Sishangai ata akiweka fiche kuwaringia nyie msiosafiri..Wakunya tunaobishana nao humu hawa ndio hivyo tena hatuna jinsi ndio washakua majirani zetu tuendelee tu kuishi nao tu huku wakiendelea kujifunza toka kwetu lakini ni mazezeta wa kushangaza!imagine mtu anatunza tiketi ya ndege ya miaka ya nyuma ili tu alingishie alipanda ndege!sidhani kama kuna Mtanzania ataweza kufanya kitu cha kijinga kile
Mkenya ni mama yakoNi Mkenya, chunguza kiswahili chake vyema utagundua hilo.
Anafurahia jinsi mama anavyoendesha inchi ndivyo sivyo na anafurahia ile kasi ya ujenzi wa miundombinu haipo tena.