Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Okay! Mama kaanzisha mradi gani mkubwa ambao umeisha, au utaisha ndani ya mwaka 1,mto msimbazi na daraja la Jangwani litaisha lini, barabara ya Chalinze Segera inaisha lini, double road dodom to Arusha inaisha lini? Barabara ya Morogoro to dom to Singida double road inaisha lini?

Hii ndio miradi mipya ambayo tuliambiwa itafanyika.
Aanzishe vitu huku hatujamliza SGR,Nyerere Hydro Power,BRT phase II,Barabara ya Zege Njombe-Ludewa,Daraja la Kigongo busisi,Wami bridge.Hizi sio akili mkuu.Taifa linapaswa kwenda kwa mipango sio upya wa mradi Bali manufaa ya taifa Kwa mradi husika,ingekuwa hivyo basi JPM angeachana na Tazara Flyover,Ubungo interchange,Tanzanite bridge,SGR maana vyote hivyo vilianzishwa na mtangulizi wake.Lakini serikali haziendeshwi hivyo unaendelea pale mwenzio alipoishia
 
Nifundishe jinsi ya kumblock. Nimejitahidi nimeshindwa.
Gusa jina lake lake alafu nenda hapo.
Screenshot_20220529-134457.jpg
 
Uko sahihi kabisa, ndio maana nikamwambia huyu punguani kuna sababu nyingi sana za msingi. Mimi hata sioni cha kubishana na hawa jamaa kuhusu vina na majeshi ni mambo wasio na uelewa nayo kabisa na inaonesha jinsi gani walivyo weupe kwenye ammbo mengine pia.

Labda wana umri mdogo, I dont think kama nitaendelea kujibizana nao - ni kupoteza sana muda kiukweli.
Hata mimi ninahisi umri mdogo sana hawana uelewa na mambo ya kijeshi na historia au ni kutaka kupotosha tu ili kuonyesha jeshi Lao lina nguvu.
 
Yeah Shukran!

Nime refresh page nikaona contents zake ziko kapuni!
Yah huyo ni kupiga block tu mana ni king'ang'anizi sana haelewi na hataki kuelewa kwasababu yeye yupo hapa kwa ajili ya kumponda mtu aliyetangulia mbele ya haki na wala sio kumsifia Samia. Hana mapenzi yoyote na Samia bali ni kujifariji kwa kifo cha Magu tu, sasa watu tumeshatoka huko.
 
Aanzishe vitu huku hatujamliza SGR,Nyerere Hydro Power,BRT phase II,Barabara ya Zege Njombe-Ludewa,Daraja la Kigongo busisi,Wami bridge.Hizi sio akili mkuu.Taifa linapaswa kwenda kwa mipango sio upya wa mradi Bali manufaa ya taifa Kwa mradi husika,ingekuwa hivyo basi JPM angeachana na Tazara Flyover,Ubungo interchange,Tanzanite bridge,SGR maana vyote hivyo vilianzishwa na mtangulizi wake.Lakini serikali haziendeshwi hivyo unaendelea pale mwenzio alipoishia
Umeona ehee! Yeye alisema hakumaliza miradi yoyote wakati alikuta miradi ya mtangulizi wake haijaisha akaimalizia ndipo akaanzisha ya kwake. Kumuuliza hivyo nilitaka aniambie kwamba anamalizia ya Magufuli ili aanze ya kwake, na ndivyo alivyosema.Sasa kosa la Magufuli ni nini?

Ukisoma trend ya majibizano yetu utaelewa concept ya hili swali lilitokana na nini,kwahiyo kama Magufuli hakumaliza miradi ambayo aliiazisha kuna miradi aliyoikuta ya mtangulizi wake alikuwa anaimalizia.

Same same kwa mama naye baada ya kumaliza ya Magufuli aliyoanzisha na kama hataimaliza itamaliziwa ajaye, halafu unaweza kusimama na kusema mama hakufanya kitu angalia Rais huyu anamalizia miradi yake kwa kuwa ile ilikosa pesa. Sasa hizi ni akili gani.

Nambie na wewe na uwe fair kwa kila Rais aliyepita, aliyepo na ajaye.
 
Yah huyo ni kupiga block tu mana ni king'ang'anizi sana haelewi na hataki kuelewa kwasababu yeye yupo hapa kwa ajili ya kumponda mtu aliyetangulia mbele ya haki na wala sio kumsifia Samia. Hana mapenzi yoyote na Samia bali ni kujifariji kwa kifo cha Magu tu, sasa watu tumeshatoka huko.
Ni Mkenya, chunguza kiswahili chake vyema utagundua hilo.

Anafurahia jinsi mama anavyoendesha inchi ndivyo sivyo na anafurahia ile kasi ya ujenzi wa miundombinu haipo tena.
 
The day Kenyan police crossed into Tanzania and canned Tanzanian thoroughly.

 
Back
Top Bottom