Mtu mwenye akili timamu hawezi kuulizwa hili swali "Kwanini Amin alivamia Tanzania na sio Kenya".
Kwanza Jiulize, kwanini vyama vyote vya ukombozi wa Afrika vilitumia Tanzania Kama makao makuu ya kuendeshwa shughuli zao za ukombozi?.
Wapinzani wote wa Did Amin, kuanzia Obote, Tito Okelo, Museven na wanajeshi wao, kwanini walikimbilia na kuishi Tanzania na sio Kenya
Kabila, John Garang wa South Sudan, Rene wa Sychelles kwanini walikuja Tanzania na sio Kenya, ulijibu haya maswali, ndio utakua kwamba Kenya sio sehemu ya Afrika ndio sababu haikujishughulisha kabisa na Mambo ya Afrika, ndio sababu haikushambuliwa na nchi yoyote ya Afrika
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app