Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna mradi mpya 😬😬😬

Ring Road 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220528-190600.png
    Screenshot_20220528-190600.png
    154.3 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220528-190614.png
    Screenshot_20220528-190614.png
    139 KB · Views: 16
Wacha kulili vya wanaume we mtoto, ili nimuheshim na kumwamini akamilishe huo mradi LNG na hio project ya viwanda 200 pwani...kwa level yake atakuwa amefanya vyakutosha
Samia sio yule wa viwanda vya cherehani wewe Babu..

Ujenzi wa Barabara kuelekea Kwala Viwandani unaendelea..

Samia ni level zingine 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220527-192638.png
    Screenshot_20220527-192638.png
    95 KB · Views: 16
  • Screenshot_20220527-192730.png
    Screenshot_20220527-192730.png
    59.7 KB · Views: 14
Can anyone bring me an estate in dar that can match this in quality standards? Especially Since ..."Dar real estate is bigger than Nairobi's"
1653758599674.png

Ps I'm crossing my fingers msilete hio Chinatown
 
Toka 2018 hadi 2021 haukuwa mda wa kutosha kumaliza?

Hakua na pesa mbona mnajizungusha zungusha?
Okay! Mama kaanzisha mradi gani mkubwa ambao umeisha, au utaisha ndani ya mwaka 1,mto msimbazi na daraja la Jangwani litaisha lini, barabara ya Chalinze Segera inaisha lini, double road dodom to Arusha inaisha lini? Barabara ya Morogoro to dom to Singida double road inaisha lini?

Hii ndio miradi mipya ambayo tuliambiwa itafanyika.
 
Hospital zenyewe hasikuisha,hazikuwa na vifaa wala wataalamu ,mama amemalizia,ameweka vifaa tiba na ajira juu..

Kama Kawaida ya Mwendazake huwa anaanzisha na hamalizii ikiwemo Chato Referral kaimalizia mama ..CAG ameeleza miradi kibao ambayo ilikamilika ila haitumiki kwa kukosa wataalamu,umeme na vifaa tiba mama kafanya vyote hivyo .👇
Magu aliupiga mwingi kwenye sehemu zake na mama nae anaupiga mwingi kwenye part yake,ila habari kama hizi lina jukwaa lake kule siasani,mnakera sana kuja na mada kama hizi kwenye hili jukwaa ambalo alihusiani na siasa
 
Okay! Mama kaanzisha mradi gani mkubwa ambao umeisha, au utaisha ndani ya mwaka 1,mto msimbazi na daraja la Jangwani litaisha lini, barabara ya Chalinze Segera inaisha lini, double road dodom to Arusha inaisha lini? Barabara ya Morogoro to dom to Singida double road inaisha lini?

Hii ndio miradi mipya ambayo tuliambiwa itafanyika.
Aanzishe mwaka mmja na kumaliza mwaka mmja? Unachekesha sasa..

Halipo kwenye mpango,tuko busy na kukamilisha miradi inayoendelea na kuendeleza mingine hususani ya barabara 👇
 

Attachments

  • 20220528_190650.jpg
    20220528_190650.jpg
    130.6 KB · Views: 15
  • 20220528_190653.jpg
    20220528_190653.jpg
    134.4 KB · Views: 19
Aanzishe mwaka mmja na kumaliza mwaka mmja? Unachekesha sasa..

Halipo kwenye mpango,tuko busy na kukamilisha miradi inayoendelea na kuendeleza mingine hususani ya barabara
Umeona sasa,kwahiyo akiazisha 2024 isipoish ikatokea akaja Rais mwingine(hapa natolea mfano tu) utamlaumu mama kwamba alianzisha miradi haikuisha ??
 
Umeona sasa,kwahiyo akiazisha 2024 isipoish ikatokea akaja Rais mwingine(hapa natolea mfano tu) utamlaumu mama kwamba alianzisha miradi haikuisha ??
Sifa kwa Rais ajaye ambae atatoa pesa na kukamilisha..

Bwawa lililomshinda Nyerere,Mwinyi,MKapa,JK hadi Magufuli mama analitafuna 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220518-090428.png
    Screenshot_20220518-090428.png
    162.4 KB · Views: 19
  • Screenshot_20220518-090428.png
    Screenshot_20220518-090428.png
    162.4 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220518-090453.png
    Screenshot_20220518-090453.png
    217 KB · Views: 13
Sukuma gang ongezeni block..

Naendelea kuwakera na Kazi nzuri ya SSH👇
😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬

Zile habari Sukuma gang mkiziona mnatumia Sana,huku ndiko SSH anapata mapato sasa.

Coal shipment to Europe imeanza 👇
Oya The Sunk Cost Fallacy usiharibu huu uzi tafadhali. Punguza ushabiki basi. Umepagawa. Sio vizuri mtu kuwa fanatic namna hiyo. Ni sawa kusupport mama lakini sio kwa njia unayotumia wewe. Mama ana mazuri na mapungufu yake kama vile tu Magu alikuwa na mazuri na mapungufu yake.
 
Back
Top Bottom