IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Buda si utulie uulize vile ku upload picha, tumejaribu kukuambia lakini sijui mbona haupo mpole kuuliza...mimi huwa napita tu kwa hizo picha unaweka bila kuziangalia maana hazionekani na sina mda wa kuziangalia moja moja.. najua sio mie pekee...sio kwa ubaya lakini rekebisha ama uendelee hivo, sitorudia kusema. Mda unekuwa huku unatosha ujue hayaNimesema weka hapa Takwimu za mwaka mmja wa Magufuli tulinganishe acha ufala..
Pili mimi sijatumwa na Samia najituma mwenyewe..
Vituo vya afya hivi hapa 👇
.. eti hatujui english


