Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwaka ulioisha kwa sehemu ulikuwa ni mwaka wa kufukia mashimo na kuziba viraka na matobo.. Uchumi ulikuwa kwenye growth rate ya 4% na Sasa uko kwenye 4.9-5.2%

As from next financial year kuna maelfu ya miradi kila sekta yatakayoturudisha kwenye growth rate ya 5.6- 6% ..
U didn't get my point, your economy is too small with meagre revenue to manage multi projects and finish on time, lazima zijikokote as they wait for the gov't to provide funding of which pesa ni kidogo haitoshi mahitaji, lazima serikali yenu igawe kidogo kidogo ili sekta yoyote isikose., the trend in Sub Saharan Africa.,
 
Sikukimbia, ni kuwa wise maanake wengine wenu humu mnapenda ubishi tu. Utaonyeshwa ila utabisha tu kama unavyoona hapa mnavyobisha hustle ya kijana Mbetsa ambaye amejenga kampuni ya kuunda electronics hadi akaitwa ikulu ya Marekani na nimewapea video ila mnapisha eti anafanya kazi ya kurepair simu. Juzi mkasema kuna slum statehouse Kenya nikawauliza muonyeshe hiyo slum kwa Google maps mkashindwa yet bado mnabisha tu. Sasa kuna haja gani ya kudebate na mtu aina hiyo? Si heri umuache aamini anachotaka kuamini?
Leta hivyo vithibitisho kwanza ndio tuende sawa na kuhusu video ya huyo kijana anayetengeneza mitaa mm sijaiona
 
Sikukimbia, ni kuwa wise maanake wengine wenu humu mnapenda ubishi tu. Utaonyeshwa ila utabisha tu kama unavyoona hapa mnavyobisha hustle ya kijana Mbetsa ambaye amejenga kampuni ya kuunda electronics hadi akaitwa ikulu ya Marekani na nimewapea video ila mnapisha eti anafanya kazi ya kurepair simu. Juzi mkasema kuna slum statehouse Kenya nikawauliza muonyeshe hiyo slum kwa Google maps mkashindwa yet bado mnabisha tu. Sasa kuna haja gani ya kudebate na mtu aina hiyo? Si heri umuache aamini anachotaka kuamini?
😂 😂 😂ni kama kazi ya kuchunga mbuzi wasumbufu mjini, balaa! Yaani ni ngumu mno, usikue na mazoea ya kupigia hawa mbuzi guitar 😂😂😂😂😂
 
Image
Image
 
Wakuu kiukweli kabisa hii Dodoma itakuja kuitesa sana Afrika mashariki na kati, ni moto wa petroli huu wazee, nmecheki hizo estate zitakapoisha nadhani itakuwa kwenye tatu bora Afrika kwa estate kali na za gharama.
Sio ujenzi binafsi tu wa makazi bali na ujenzi wa barabara za viwango za mitaa unazingatiwa.

 
Sikukimbia, ni kuwa wise maanake wengine wenu humu mnapenda ubishi tu. Utaonyeshwa ila utabisha tu kama unavyoona hapa mnavyobisha hustle ya kijana Mbetsa ambaye amejenga kampuni ya kuunda electronics hadi akaitwa ikulu ya Marekani na nimewapea video ila mnapisha eti anafanya kazi ya kurepair simu. Juzi mkasema kuna slum statehouse Kenya nikawauliza muonyeshe hiyo slum kwa Google maps mkashindwa yet bado mnabisha tu. Sasa kuna haja gani ya kudebate na mtu aina hiyo? Si heri umuache aamini anachotaka kuamini?
Hivi unajua hii brand ni ya mtanzania, inauza bidhaa mpaka kunyaland lakini huoni tukiongea

2022-5-27_9-46-38.PNG
 
Wakuu kiukweli kabisa hii Dodoma itakuja kuitesa sana Afrika mashariki na kati, ni moto wa petroli huu wazee, nmecheki hizo estate zitakapoisha nadhani itakuwa kwenye tatu bora Afrika kwa estate kali na za gharama.
😂 😂 😂 😂 😂 😂yaani mmezoea dream houses zile zenu, so ukiona such small development ambayo hamjazoea kuziona Tanzania unaona ni kubwa na eti itatisha East and central Africa, uko serious lakini?😂😂😂😂., pitia hii link then pick video to watch on Kenya's property show.., mlichelewa sana
 
Alikua muongo kwa lipi
Wakunya akili hawana
Eti Magu alikua muongo

Uhuru aliwadanganya kuwajengea reli ya umeme, laptops kwa kila mwanafunzi, international stadium kila County, kuondoa vifo vya njaa, na uongo Mwingine mwingi ila akili za kuzinduka hawana sababu wapo kwenye ganzi ya ukabila, as long as ni wa kabila lake hata amwambie ale uchafu wake atakula 🙄
 
Mwaka ulioisha kwa sehemu ulikuwa ni mwaka wa kufukia mashimo na kuziba viraka na matobo.. Uchumi ulikuwa kwenye growth rate ya 4% na Sasa uko kwenye 4.9-5.2%

As from next financial year kuna maelfu ya miradi kila sekta yatakayoturudisha kwenye growth rate ya 5.6- 6% ..
Kila mkoa uwe na makao makuu yake ya ardhi, me nakubali ile ya kikanda hapana ilichelewesha watu kupata hatimiliki zao mwishowe wanaamua kujenga bila kibali, ndio huo ujenzi holela kila sehemu.
 
Mkuu Tonny [emoji1787] Hujaona J/K hapo mbele ya Maseno? Kuhusu kusoma Mkuu Tonny hata mimi nimepita pita huko na sijaacha kusoma kama unavyofanya wewe hapo unaenda Majuu kusoma, Mimi chuo cha mwisho ambacho kipo majuu pia hakijawahi acha kunishtua kuendelea na program yoyote inayokuja wanayoona inanifaa, Napiga hata online hamna shida. Na nina mavyeti rundo kama vyako.
Kwa Kazi wewe ni CPA na mimi nipo eneo nyeti labda Tunapishana kwenye mkwanja tu[emoji41] ila sijui wako au wangu upo juu.

BTW kuhusu exposure hakulengwa mtu maalum, So Chillax na Battle iendelee. Halafu si unajua tupo kwenye battle lazima kuzinguana.
Imenipita hiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa mkwanjaa sijui wako wangu uko juu
 
Back
Top Bottom