Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakunya akili hawana
Eti Magu alikua muongo

Uhuru aliwadanganya kuwajengea reli ya umeme, laptops kwa kila mwanafunzi, international stadium kila County, kuondoa vifo vya njaa, na uongo Mwingine mwingi ila akili za kuzinduka hawana sababu wapo kwenye ganzi ya ukabila, as long as ni wa kabila lake hata amwambie ale uchafu wake atakula 🙄
Ndo nashangaa mm sijui wanatoa wapi ujasiri wakusema jpm alikua muongo wakati raisi wao ndo baba wa uongo
 
Magufuli kaingia madarakani kakuta TRA inakusanywa billion 850 kwa mwezi, kaondoka TRA inakusanya trillion 1.3 ongezeko la billion 500, kichaa anachekelea mishahara kuongezwa hajui aliefanya mapato yapande mishahara iongezeke ni nani!

Anyway idiots are just idiots

Uyo alieacha kodi 850 alikua anaongeza hamna excuse yyte zaidi ya matumizi mabaya ya ofisi
 
😂 😂 😂ni kama kazi ya kuchunga mbuzi wasumbufu mjini, balaa! Yaani ni ngumu mno, usikue na mazoea ya kupigia hawa mbuzi guitar 😂😂😂😂😂
Yani hawa jamaa ni kituko. Mara nyingi mimi huona humu Wakenya wakikubali kama kuna maendeleo mazuri huko ila wao ubishi tu. Jamaa lingine jana linaonhyesha eti hii ni proof kuna slum State House. 🤣 🤣
Yani of all places Dennis Pritt Road area Milimani ndio slum. Yani jamaa haelewi hamna mtaa hapo Dar unaweza kutoshana na Milimani kwa class. Nilicheka tu.

1.jpg
 
Yani hawa jamaa ni kituko. Mara nyingi mimi huona humu Wakenya wakikubali kama kuna maendeleo mazuri huko ila wao ubishi tu. Jamaa lingine jana linaonhyesha eti hii ni proof kuna slum State House. 🤣 🤣
Yani of all places Dennis Pritt Road area Milimani ndio slum. Yani jamaa haelewi hamna mtaa hapo Dar unaweza kutoshana na Milimani kwa class. Nilicheka tu.

Tunaongelea watengenezaji wee unaleta wauzaji. Sijui watu hufikiria aje humu. 🤣 🤣
Sasa kwa nini unatuletea sisi fujo wakati waliosema ikulu yenu ni slum ni Wakunya wenzio unaoweza kuwafata ofisini na kuwauliza?

Hata ulie machozi, hufuti slums za ikulu ya Harambee 😅😅😅
Screenshot_20220526-211650.png
Screenshot_20220526-212242.png
Screenshot_20220526-212219.png
 
Mi nilijaribu Ku search Chuo chake Maseno nikaona kipo huko Kisumu ila kina Vijitawi kadhaa najua Kitawi kingine kipo Moi Avenue kama ndio hiko Tony kasomea basi hakina tofauti na Datastar au Amazon College Bongo J/K

BTW niliangalia Maseno ina rank Kama chuo cha Elfu saba na kitu duniani, mimi chuo nilichipitia kipo Top 300. Kwa wanavyopenda Sifa na ranking mpaka hapo sifanani nae .

Pia kuna Swala la Private Car kama asset kwa jinsi alivyogaragara nalo huko mi sipo. Non of my Business.
 

Aisee hii ni hatari kama mnavyomjua Kagame lazma a-retaliate na hapa ndipo Wajinga wa Kaskazini watajijua hawajui na kujitamba agressiveness yao! On the other hand more money to our TCAA maana Rwanda itaongeza matumizi ya air space yetu!







 
Matumizi mabaya ya ofisi ipi?
Kuna faida gani kuongezea watu 300k elfu 20, 20 huku Watanzania zaidi ya million 50 hawana umeme, maji, hospital, dawa, barabara, reli, bandari, airports?
We mjinga sana usinitag
 
Back
Top Bottom