Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Rais Uhuru Kenyatta kajiendesha mwenyewe leo kwenye airshow. Hivi kuna rais mgani mwingine wa Afrika ambaye ana mazoea ya kujiendesha? Napenda jinsi Uhuru yupo free sana.
 
Complishments za Magufuli ziko wapi? Taja hata moja ..

Hujaona chuki binafsi zisikufanywe kuwa mpumbavu..

Salander bridge ikiwa imekamilishwa? Juzi Rais alikuwa kuzindua barabara aliyoimalizia nani?.

Harafu usiwe mpumbavu,miradi aliyomaliza JK huijui? [emoji116]
Kwani serikali bado iko Dar es salaam? Ile hospitali ya rufaa kule mtwara( vituo vya afya)?, vipi usambazaji wa umeme vijijini kufikia 9000+ kutoka elfu 2000+ 2015,uko apa kupost wingi wa magari pale port hujui expansion ilifanyika kipindingani? Kupoka mradi wa bomba la mafuta?ujenzi wa mabarabara kutoka elfu 9000km mpka 13000km, vipi kurudisha huduma za rail kaskazini na kuboresha ya kwenda kigoma mpka waifanyia welding?hatakama ni kipofu kipindi gani kilifufua shirika la ndege pia uambiwe?upanuzi wa mabandari yote,vivuko vipyana meli mpya ikiwemo ile ya Mwanza?
Elimu bure?unajua wanafunzi wqngapi walianzishwa chekechea?kuongenza madawati na madarasa.kuwa na adabu
Ivi unajua kuwa 2015 kampuni za bia ndio zilikuwa zina toa kodi kubwa?wakati tunamadini ya kila aina?leo mnachelea kuwepo kwa mapato ya dhahab mnasahau ni bada ya kuanzishwa kwa masoko ya madini ndani ya nchi na kujenga smelter,unajua ma billionare wangap tuliwapata?vipi kule mereran? Kujitoa muhanga ili kuweza kubadili sheria za madini kwa faida ya Taifa ?na uhakika maswala ya treni za umeme tungendelea kuishi kama ndoto.kuwa na adabu
Kifupi mwenda zake amefanya zaidi ya kawaida , japo alikuwa na mapungufu yake hasa kwenye siasa na kuibana mbavu private sector.
Huyu 1 atafanya anacho weza lakin wacha kufananisha mbingu na ardhi, ivi uyu mama ndio angemfwata JK, leo kungekuwa na bwawa la nyerere?serikali dodoma?kunadilishwa kwa sheria za madini? Vipi kipindi cha uviku watu wasinge lia njaa?kuwa na adabu
JamiiForums-445006089.jpg
JamiiForums-279988796.jpg
Screenshot_20220131-232642.jpg
JamiiForums-1634797602.jpg
 
Kwani serikali bado iko Dar es salaam? Ile hospitali ya rufaa kule mtwara( vituo vya afya)?, vipi usambazaji wa umeme vijijini kufikia 9000+ kutoka elfu 2000+ 2015,uko apa kupost wingi wa magari pale port hujui expansion ilifanyika kipindingani? Kupoka mradi wa bomba la mafuta?ujenzi wa mabarabara kutoka elfu 9000km mpka 13000km, vipi kurudisha huduma za rail kaskazini na kuboresha ya kwenda kigoma mpka waifanyia welding?hatakama ni kipofu kipindi gani kilifufua shirika la ndege pia uambiwe?upanuzi wa mabandari yote,vivuko vipyana meli mpya ikiwemo ile ya Mwanza?
Elimu bure?unajua wanafunzi wqngapi walianzishwa chekechea?kuongenza madawati na madarasa.kuwa na adabu
Ivi unajua kuwa 2015 kampuni za bia ndio zilikuwa zina toa kodi kubwa?wakati tunamadini ya kila aina?leo mnachelea kuwepo kwa mapato ya dhahab mnasahau ni bada ya kuanzishwa kwa masoko ya madini ndani ya nchi na kujenga smelter,unajua ma billionare wangap tuliwapata?vipi kule mereran? Kujitoa muhanga ili kuweza kubadili sheria za madini kwa faida ya Taifa ?na uhakika maswala ya treni za umeme tungendelea kuishi kama ndoto.kuwa na adabu
Kifupi mwenda zake amefanya zaidi ya kawaida , japo alikuwa na mapungufu yake hasa kwenye siasa na kuibana mbavu private sector.
Huyu 1 atafanya anacho weza lakin wacha kufananisha mbingu na ardhi, ivi uyu mama ndio angemfwata JK, leo kungekuwa na bwawa la nyerere?serikali dodoma?kunadilishwa kwa sheria za madini? Vipi kipindi cha uviku watu wasinge lia njaa?kuwa na adabu View attachment 2242310View attachment 2242311View attachment 2242313View attachment 2242314
Mimi kusema kweli huyo jamaa nilisha mpiga block kitambo sana... [emoji4].

Wala hanipi shida. Message zake naziona mkizi tag tu.
 
Kwani serikali bado iko Dar es salaam? Ile hospitali ya rufaa kule mtwara( vituo vya afya)?, vipi usambazaji wa umeme vijijini kufikia 9000+ kutoka elfu 2000+ 2015,uko apa kupost wingi wa magari pale port hujui expansion ilifanyika kipindingani? Kupoka mradi wa bomba la mafuta?ujenzi wa mabarabara kutoka elfu 9000km mpka 13000km, vipi kurudisha huduma za rail kaskazini na kuboresha ya kwenda kigoma mpka waifanyia welding?hatakama ni kipofu kipindi gani kilifufua shirika la ndege pia uambiwe?upanuzi wa mabandari yote,vivuko vipyana meli mpya ikiwemo ile ya Mwanza?
Elimu bure?unajua wanafunzi wqngapi walianzishwa chekechea?kuongenza madawati na madarasa.kuwa na adabu
Ivi unajua kuwa 2015 kampuni za bia ndio zilikuwa zina toa kodi kubwa?wakati tunamadini ya kila aina?leo mnachelea kuwepo kwa mapato ya dhahab mnasahau ni bada ya kuanzishwa kwa masoko ya madini ndani ya nchi na kujenga smelter,unajua ma billionare wangap tuliwapata?vipi kule mereran? Kujitoa muhanga ili kuweza kubadili sheria za madini kwa faida ya Taifa ?na uhakika maswala ya treni za umeme tungendelea kuishi kama ndoto.kuwa na adabu
Kifupi mwenda zake amefanya zaidi ya kawaida , japo alikuwa na mapungufu yake hasa kwenye siasa na kuibana mbavu private sector.
Huyu 1 atafanya anacho weza lakin wacha kufananisha mbingu na ardhi, ivi uyu mama ndio angemfwata JK, leo kungekuwa na bwawa la nyerere?serikali dodoma?kunadilishwa kwa sheria za madini? Vipi kipindi cha uviku watu wasinge lia njaa?kuwa na adabu View attachment 2242310View attachment 2242311View attachment 2242313

View attachment 2242314
Uwe unaweka maandishi sio kujisemesha kama shabiki...nataka maandishi ya barabara yanayoonesha kutoka 9,000 hadi 13,000...

Niwekee hiyo avidence afu tuendelee na mengine..

Mwisho ni ajabu kusema eti alifanya zaidi wakati mtu Kawa Rais Miaka 5,hiyo ajabu unamlinganisha na nani hasa?

Kama unamlinganisha na Samia umeshafeli maana Samia atazidi vyote hivyo ikiwa mwaka mmja tuu kafanya hayo yote na kaongezea na mengine ambayo hayakufanyika kwa kisingizio cha miradi..

Serikali ya awamu ya 6 hai struggle kwenye case ya pesa maana wanajua kutafuta pesa..mfano ni makusanyo ya TRA na Halmashauri..
 
Kwani serikali bado iko Dar es salaam? Ile hospitali ya rufaa kule mtwara( vituo vya afya)?, vipi usambazaji wa umeme vijijini kufikia 9000+ kutoka elfu 2000+ 2015,uko apa kupost wingi wa magari pale port hujui expansion ilifanyika kipindingani? Kupoka mradi wa bomba la mafuta?ujenzi wa mabarabara kutoka elfu 9000km mpka 13000km, vipi kurudisha huduma za rail kaskazini na kuboresha ya kwenda kigoma mpka waifanyia welding?hatakama ni kipofu kipindi gani kilifufua shirika la ndege pia uambiwe?upanuzi wa mabandari yote,vivuko vipyana meli mpya ikiwemo ile ya Mwanza?
Elimu bure?unajua wanafunzi wqngapi walianzishwa chekechea?kuongenza madawati na madarasa.kuwa na adabu
Ivi unajua kuwa 2015 kampuni za bia ndio zilikuwa zina toa kodi kubwa?wakati tunamadini ya kila aina?leo mnachelea kuwepo kwa mapato ya dhahab mnasahau ni bada ya kuanzishwa kwa masoko ya madini ndani ya nchi na kujenga smelter,unajua ma billionare wangap tuliwapata?vipi kule mereran? Kujitoa muhanga ili kuweza kubadili sheria za madini kwa faida ya Taifa ?na uhakika maswala ya treni za umeme tungendelea kuishi kama ndoto.kuwa na adabu
Kifupi mwenda zake amefanya zaidi ya kawaida , japo alikuwa na mapungufu yake hasa kwenye siasa na kuibana mbavu private sector.
Huyu 1 atafanya anacho weza lakin wacha kufananisha mbingu na ardhi, ivi uyu mama ndio angemfwata JK, leo kungekuwa na bwawa la nyerere?serikali dodoma?kunadilishwa kwa sheria za madini? Vipi kipindi cha uviku watu wasinge lia njaa?kuwa na adabu View attachment 2242310View attachment 2242311View attachment 2242313View attachment 2242314
Huyo ni taahira mkuu, anajidanganya JPM anaweza kifutika kirahisi 😂😂 cha ajabu kila picture ya mradi anayo post ni JPM legacy
 
Kwa akili yako finyu unaona kuna 500 billion excess kati ya hiyo miezi?
Wewe inawezekana ni school dropout ikiwa unashindwa hata kufanya simple maths kama hiyo..

Summation of Revenues for 3 consecutive qters =16.69Trilion/9=1.85Til..,

Kwa hiyo 1.85 less 1.3 Unapata ngapi wewe kilaza? Figures kama hizi uliwahi ziona awamu ya 5? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220406-164902.png
    Screenshot_20220406-164902.png
    90.3 KB · Views: 26
  • Screenshot_20220406-163449.png
    Screenshot_20220406-163449.png
    53.8 KB · Views: 23
Wewe inawezekana ni school dropout ikiwa unashindwa hata kufanya simple maths kama hiyo..

Summation of Revenues for 3 consecutive qters =16.69Trilion/9=1.85Til..,

Kwa hiyo 1.85 less 1.3 Unapata ngapi wewe kilaza? Figures kama hizi uliwahi ziona awamu ya 5? 👇
Hamna chochote mama yako anafanya JPM hakufika

 
Back
Top Bottom