Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,919
- 103,791
Mingi miaka mitatu ya mwanzo alizindua miradi ya awamu iliyopita!Kama ipi?
Mingi miaka mitatu ya mwanzo alizindua miradi ya awamu iliyopita!Kama ipi?
Unaweza kukuta Tony254 ndio mmiliki wa hiyo hotel,anaanzaje sasa kuonesha hotel yake kama ndio iko kwenye hali kama hiyo 😀Usikute tuna battle na machokoraa wa Nairobi, Wakenya gani hawa wanajisifia kwa maneno tu vitendo hamna? Hawaoneshi simu zao, hawaoneshi nyumba zao wala gari zao, hata vyeti hawaoneshi wao ni mabingwa wa kujisifu mdomoni tu![]()
Hapana, hivyo hivyo ilivyo.Unamaanisha "haujamsema"?
Those are the words of insecurity from a mediocre chokoraa in Kibera!Nobody cares about that thing. One thing we all know is that Uhuru in ten years has built more roads than what the colonial and all Tanzanian Presidents done combined.
Unaweza kukuta Tony254 ndio mmiliki wa hiyo hotel,anaanzaje sasa kuonesha hotel yake kama ndio iko kwenye hali kama hiyo![]()





Ahsante. Kwahiyo hata miradi inayotekelezwa si inaingia sasa kwenye Per Capital au GDP? Tanzania tunatekeleza miradi mingi sana kwahiyo sisi ni matajiri.Per capita nikipato cha mtu moja moja kinapatikana kwa kugawanya pato la taifa na namba ya watu,GDP= total goods and service produced within a country at certain period.
Pia idadi ya watu na GDP vinachangia zaidi kujua ukubwa au udogo wa pato la mtu moja moja katika nchi,
Huu mgodi wa Nyanzaga Sengerema kwani umeshaanza kufanya kazi mbali na huu wa Singida?Iyo zamani mzee kipindi jpm anakufa tulikua tushafika 3 b tayar by saivi tunaweza tukawa 3.5 kama kasi ya uzalushaji haikupungua na kingine kuna mgodi mwingine wa dhahabu utaanza kufanya kazi mda sio mrefu kwaiyo 4 b mwakani tunaichungulia
Ahsante, ila file limegoma kufunguka.Angalia ujasiri wa askari wetu,huyo mwamba wa alieshika chupa nimemvulia kofia, aisee
![]()
Okay!Al Shabab walipovania Nairobi kwenye Mall na kuua askari mmojawapo alikuwa Samantha the black widow kawachakaza halafu akasepa hawakuweza kumkamata. Samantha ni mzungu wa UK ambaye anajihusisha na ugaidi na alikuwa ameolewa na jamaa ambaye ni Al Shabab.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app



hawa wanasikitisha sana,hawana mazoezi ya ukakamavu, askari wetu especially elites miili yao ni silaha tosha uje na rungu, panga, kisu au shoka utavunjwa vunjwa hadi ulimi. Wenzetu kule Kaskazini alitimua mbio, tena jambazi mmoja na panga, cha kushangaza eti huyu ni mkufunzi wa hao elites kwa miaka 10.Ni aibu kwa jeshi.Wamejenga Hotel gani Boss?
Per capita na GDP Ahsante kwa kunielewesha japo pia Watanzania wenzangu walikuwa wameshanielewesha.Watanzania kwa mara ya mwisho, sio per capital ni per capita. Wengine wenu mnaudhi.

Sawa mkuu.Thanks!Ni per capita boy
Hilo ndilo mnalolijua zaidi, kurekebisha lugha ya kiingereza, nje ya kiingereza hamjui lolote ninyi, shuleni hamkazanii kitu lingine zaidi ya Kiingereza
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app




Lakini tunaweza kutengeneza mpya. Mfano tutafute maeneo ambayo yanamsongamano wa nyumba zisizopangwa watu walipwe na kupewa eneo lingine lililopimwa then wavunje na kutengeneza hizo park.Ninachojua kwa mfano Nairobi walifight sana kuokoa hizo parks tayari wanasiasa walishazichukuwa kutaka kujenga skyscrapers, kuna yule mama mpaka alipata nobel prize hivyo siyo rahisi ni mwamko hata sisi tunahitaji mwamko mfano sasa hivi hata Coco beach tunaenda kuipoteza kwa maana tayari Manji alishaanza kupiga uzio Lukuvi akampiga biti, hivyo ni swala la muda tu Coco beach itaenda pia!
Kuna mambo mengine yanasikitisha sana. Watu wengine wanajiona nchi yao ,wamepewa hatimiliki milele.Hii ya Coco beach ni Magu ndiye aliyemwekea Manji kauzibe. Sasa Lukuvi wamemtoa halafu prince ndo kawekwa kusaidia kushikilia mpini. Na mama kashasema kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, sasa watoto wetu Eid al fitr na Chrismas wataenda wapi?
Lakini tunaweza kutengeneza mpya. Mfano tutafute maeneo ambayo yanamsongamano wa nyumba zisizopangwa watu walipwe na kupewa eneo lingine lililopimwa then wavunje na kutengeneza hizo park.
Au watafute maeneo mengine yaliyo wazi wajenge mpya. Ni utashi tu wa serikali.
Mnavyopenda sifa mnataka kila sifa nzuri mpewe nyieBecause we don't celebrate mediocrity.
Who knows that apart from you Kenyans and your Presidential Delivery Bureau. Tangible infrastructural development is recognised worldwide kwasababu hela iliyotumika kujengea hizo infrastructure inapitia mifumo ya kidunia sasa ya Uhuru aliyojengea hizo barabara zenu haionekani kwenye mifumo ya fedha za kidunia hence hawezi pata tuzo yoyote. Infrastructure aliyojenga yeye iko on papers only on the ground hakuna kitu.Nobody cares about that thing. One thing we all know is that Uhuru in ten years has built more roads than what the colonial and all Tanzanian Presidents done combined.
Wewe kama hukusoma nyamaza. Certificate enyewe huna.Ndio mkenya pekee aliyethubutu kuonesha cheti, wengine bado wanasoma wanaongopa eti wanafanya kazi lkn masaa 24 wapo humu![]()
Nchi ya neema hii mkuu, halafu eti niende Ulaya kutafuta maisha kama mkimbizi? Ikiwa nimepata kazi ya uhakika sawa lakini kubahatisha siwezi. Kuna watu huko hawali chakula organic kama hicho chakoNapiga zangu supu ya kuku nusu kilo asubuhi baada ya lisaa nikofresh hangover kwisha


