Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Acha kidanganganya wenzako Uhuru park is under rehabilitation.Hivi unajua Uhuru Park na Nairobi National park viimemegwa kiasi gani kipindi hiki cha Uhuru?
Acha kidanganganya wenzako Uhuru park is under rehabilitation.Hivi unajua Uhuru Park na Nairobi National park viimemegwa kiasi gani kipindi hiki cha Uhuru?
Napiga zangu supu ya kuku nusu kilo asubuhi baada ya lisaa nikofresh hangover kwishaIla nyie watu![]()
Uwakute wakijilinganisha na Tz sasa






Angepewa tuzo Uhuru sasa![]()



Ww endelea na makabati mambo ya uchumi sio yakoMwingine huyu hapa.
Weka na ww simu yako tuione.



Imemegwa na subiri rehabilitation iishe uone transfer of ownership!
Hakuna kiswahili cha "wengine wenu"Watanzania kwa mara ya mwisho, sio per capital ni per capita. Wengine wenu mnaudhi.
Eti kajenga km 10,000km ila groundLabda tuzo ya upikaji data.
Maana kwenye hiyo sekta ya kupika data hana mpinzani.![]()




Ati???Huwa wakicoment humu halafu app ya jf ioneshe sent by simu fulani huwa wana edit comments chap kuondoa hiyo sent by.![]()
Chuo alichoenda yeye ni cha uchochoroni hakina accreditation kama anabisha aweke hapa tuone.Sidhani Kama umefikia chuo Kikuu wewe, uwezo wako wa akili unatia shaka, labda chuo ulichofika ni chuo Kikuyu lakini sio chuo Kikuu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Usikute tuna battle na machokoraa wa Nairobi, Wakenya gani hawa wanajisifia kwa maneno tu vitendo hamna? Hawaoneshi simu zao, hawaoneshi nyumba zao wala gari zao, hata vyeti hawaoneshi wao ni mabingwa wa kujisifu mdomoni tuHuwa wakicoment humu halafu app ya jf ioneshe sent by simu fulani huwa wana edit comments chap kuondoa hiyo sent by.![]()












Usikute tuna battle na machokoraa wa Nairobi, Wakenya gani hawa wanajisifia kwa maneno tu vitendo hamna? Hawaoneshi simu zao, hawaoneshi nyumba zao wala gari zao, hata vyeti hawaoneshi wao ni mabingwa wa kujisifu mdomoni tu![]()
.Usikute tuna battle na machokoraa wa Nairobi, Wakenya gani hawa wanajisifia kwa maneno tu vitendo hamna? Hawaoneshi simu zao, hawaoneshi nyumba zao wala gari zao, hata vyeti hawaoneshi wao ni mabingwa wa kujisifu mdomoni tu![]()









Usikute tuna battle na machokoraa wa Nairobi, Wakenya gani hawa wanajisifia kwa maneno tu vitendo hamna? Hawaoneshi simu zao, hawaoneshi nyumba zao wala gari zao, hata vyeti hawaoneshi wao ni mabingwa wa kujisifu mdomoni tu![]()



Ndio mkenya pekee aliyethubutu kuonesha cheti, wengine bado wanasoma wanaongopa eti wanafanya kazi lkn masaa 24 wapo humuHivi karibuni si tumeona vyeti rundo vya mkulungwa.











Kama ipi?Mwendazake alikuwa akiji-acknowledge yeye tu miradi ya Kikwete!
Barabara ya arhiriva na limuru ni barabara 1, ya pili ni Thika, then hakuna tena barabara inayotoka na kuingia Nairobi. 😅😅😅
Angalien hapo chin kwenye kituo cha BRT, zile pavement blocks za SGR station wamezifumua to pave a way for BRT lane
View attachment 2238904
Unamaanisha ile ya town kabisa karibu na ifm ambayo wameshaimega kujenga Hoteli au kuna nyingine ?