Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Finishing ndiyo huwa inawashinda kabisa.
Screenshot_20220524-172609.jpg
 
Ndege ya Fedex imeanza kupiga route ya Kenya. Kenya ndio nchi ya pili hapa Africa baada ya South Africa kupokea regular flights za Fedex.
Shida iko wapi? Nilidhani mmepokea ndege ambayo haina uwezo wa kutua JNIA kama ambavyo JKIA haina uwezo wa kupokea A380 iliyotua JNIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
KDF walishapokea training and are now using UAVs, huko bongo jeshi yao haijui drone ni nini. Yani tunaweza wapiga vita or spy on them tukiwa in our own country.

Image
Kenya bhn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Shida iko wapi? Nilidhani mmepokea ndege ambayo haina uwezo wa kutua JNIA kama ambavyo JKIA haina uwezo wa kupokea A380 iliyotua JNIA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Fedex haitui huko kwenu.
 
Kenya bhn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ona soldiers wenu washamba vile wameshangaa, wote wanachungulia controller ya drone ju hawajwai ona kitu kama hio. 🤣 🤣 🤣 🤣


China-Tanzania Sincere Partners-2019 military training kicks off in  Tanzania - China Military
 
Watanzania hutumia asilimia moja ya akili yao
Kipi cha ajabu hapo? Sarakasi Bungeni, nyinyi kwenu hampigani ngumi hadi kuchaniana nguo?

Sarakasi na ngumi Bungeni nani aliyekosa staha na kujiheshimu?
 
Ona soldiers wenu washamba vile wameshangaa, wote wanachungulia controller ya drone ju hawajwai ona kitu kama hio. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]


China-Tanzania Sincere Partners-2019 military training kicks off in Tanzania - China Military
So ushakubali kwamba drone zipo na tumekuwa nazo kabla yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Fedex haitui huko kwenu.
Sasa hiyo c makubaliano tu nn cha ajabu hapo, tukikubaliana inatua lkn nyie hamna Airpot ya ku handle A380 hata mkikubaliana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mm nitatofaitiana na nyinyi kidogo, huwezi kuwafundisha watu kuwa wazalendo ata kidogo, namna pekee ya kuondokana na hii hali ni sheria kali tuu bila kumfumbia mtu macho kwa namna iyo ndo tutawwza kuleta uwajibikaji na uzalendo serikalini, mfano ulio haI na wawazi kabisa ni uwepo wa dini na serikali katika kila nchi hapa duniani imesaidia kuregulate mienendo na hulka za watu la sivyo kungekua hamna mpangilio

Sasa tukija kwenye serikali yetu ufisadi mwingi lakini ata siku moja hatujawahi kuskia kiongozi flani au mkurugenzi flani kafungwa au ata kufikishwa mahakamani, Magufuli kidogo ndo halijitahidi sasa hii hali ya viongozi wetu wakuu kutowajibika na kuchukua hatua za ziada ndio inatukosti
Unayetaka kumuwekea sheria kali hana maadili, mwizi, fisadi, hana uzalendo, muongozaji wa genge la wezi. Swali sasa ni nani atakayeruhusu umtungie sheria ya namna hii?Unadhani atakuruhusu ulete mjadala wa muswada wa sheria na aipitishe?

Ndio maana nikasema turudi kwenye misingi ya mbabu zetu mkuu, mbona hawakuwa na sheria kali lakini waliishi vizuri kwa kuheshimiana??
 
KDF is hosting a free Airshow this Saturday at Uhuru Gardens. Event kama hii huwezi pata bongo ju hawana extra airport, enyewe maskini hana raha. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]

Unataka tuanze vita ya airport, utawezana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kama ni hivyo na wana kinga.. kwanin wanamuogopa Rais ambae yupo madarakan.. yan kuongea maovu/ufujaj mali anaofanya huyo Rais.. akiondoka ndo unaambiwa huyu ali fanya hiv na hiv..alipokuwa madarakan hawasemi.. nilijua hawasemi kwasababu anajua Rais atamuondoa
Walijaribu kutaka kutuaminisha Magufuli alikuwa mbaya ,lakini kwanini yeye baada ya kuondoka?
 
Unataka tuanze vita ya airport, utawezana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe unafanya kazi airport kama soja na hujawai kuona airshow. Kuja Nairobi this weekend utoe ushamba.
 
Back
Top Bottom