Vipi, hii nayo ni 'fake' chinese...
Hajishughulishi na wezi anatafuta kupendwa na kukubalika na wapigaji wengi, atakwama. Ana nia nzuri kukuza kipato cha Mtanzania lakini pasipo kudhibiti mianya ya upigaji hatufiki tuendako.Tatizo la kiongozi mkuu kazi yake ni kusema tu "nendeni mkafanye haya..." Haoneshi kuguswa na upigaji uliotukuka, ni km vile yeye ndiye anayewatuma wakapige. Ufisadi ukitokea haoneshi kuguswa kabisa, nammis sana Magufuli wallahi na sijui nitampata wapi.
where is Kimwarer dam? Lokichar-Lamu port pipeline?Where is bwagamoyo port???
nilisema hii habari haitakua nzuri kwenu 🤣🤣🤣yaani kuna kitu cha kuongelea hapa? Mtu kuomba apple store ifunguliwe Tz? 😅 Alafu ikapata 45 likes? Jamaa haupo serious.
Wivu wa kikikuyu huo,jamaa wana roho mbaya!nilisema hii habari haitakua nzuri kwenu 🤣🤣🤣
U have only five old fighter jets ndio maana tunawachezea tunavyotaka cz tunajua mkileta fyoko fyoko tunamtoa madarakani rais wenu tunaweka tunayemtaka sisi![]()
Bora umemueleza..Haya uliyoyasema mengi yapi ndani ya Katiba ya Sasa, machache ambayo hayamo, Wala hayahitaji kuandika Katiba mpya, yanahitaji tu kufanyiwa marekebisho na kuingizwa ndani ya Katiba ya Sasa.
Mkuu, Katiba ni kitu hai ambacho kila siku au mwaka Kuna mabadiliko hutokea, ni lazima kuyatoa na kuingiza mapya ili kukidhi matakwa ya mapya ili kujibu changamoto mpya.
Mkuu, Katiba mpya sio muarubaini wa matatizo, Kenya waliandika Katiba mpya, miaka kumi baadae wanaona haina maana kwasababu haikujibu shida zao wanataka ifanyiwe marekebisho(BBI).
Mkuu, Katiba ni Kama binadamu, akishazaliwa, wazazi wanapaswa kumlea, kumtibu pale anapoumwa na kumrekebisha pale anapokosea, sio kumuacha na kuzaa mtoto mwengine.
Mkuu, unaweza kunipa mfano wa nchi yoyote ambayo imepiga hatua ya kimaendeleo, umoja, utulivu na mshikamano hapa duniani kwa kubadili Katiba?.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mungiki uwaambi kitu na f-5 zao chakavu aisee!Back bone of any Air force is fighter jets, not all carriers or Helicopters, all those planes can't fight and win the war, just to give supports to ground forces by transporting supplies.
Kenya you have not more than 5 - fighter jets, F-5 which are very old and outdated. Uganda is superior on Air force because they have 6 fighter jets SU-30, almost brand new, followed by Tanzania has 14 brand new J-7, followed by Kenya has very old 5 fighter jets F-5, very old, followed by Rwanda which has only fighter Helicopters, Rwanda doesn't have fighter jets, lastly is Burundi which has very old fighter Helicopters.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sasa hayo maadili kwa watu tunayapatajeBora umemueleza..
Huko South kwenye umaskini wa kutopea hakuna Katiba mpya? Kenya je? Ghana ?
Katiba mpya ndio itazuia kuwahonga watu wa CAG wakati wa Auditing? Katiba mpya ndio itazuia boss wa Taasisi asilipe posho zisizofanyiwa Kazi Kwa kuachezea tuu attachments?
Tanzania haina shida ya Katiba mpya,Tatizo la Nchi hii ni jamii isiyo na maadili,uvivu na kupenda maisha ya shortcut...
Mtu anaongea mambo ya Rais sijui makumu as if hao ndio wanasababisha ugumu wa maisha..Bila kupambana kutafuta maisha Hali itabakia hivyo hivyo...
Trump alikuwa anafukuza watu daily ,kule hakuna Katiba mpya? Huko America na Ulaya kuna mfumuko wa bei kuliko kwetu,Katiba zao Bora na mpya zimewasaidiaje? 😜😜😜😜😜
My friend, Kenya is moving with the current world on matters war and combat.!! its not tht we are lagging behind on matters fighter jets.....Unataka kufananisha fighter jet za 1950 na 2010s J7G mpyaa tena upgraded!
Au ni ubishi wa kikunya unaendeleza hapa.
Lazima tuanze kuyajenga kwa watoto wadogo wakiwa shule hadi university yaani haya yanakuwa ni masomo mtambuka...Sasa hayo maadili kwa watu tunayapataje
Ukiweka ushahidi kwamba Kenya Kuna fighter jets zaidi ya 7, Mimi ninatoka kabisa hapa JF.Sasa ona unavyoongea ni kama huna akili. Kenya ina 17 fighter jets. Sasa nenda kalilie chooni.





Mambo mengi uliyosema ni maoni yako, hiyo ni haki yako kutoa maoni lakini haina maana kwamba ni sahihi. Ngoja nizungumzie kuhusu CAG, yote uliyosema kuhusu CAG yamo katika Katiba ya Sasa. Rais Hana madaraka ya kumuondoa CAG baada ya kumteua ndani ya kipindi cha miaka mitano, ila anayo mamlaka ya uteuzi kila kipindi cha miaka 5.Nimetaja points 5, afu unasema mengi (maana yake zaid ya nusu, yan kuanzia mbili) yapo ndan ya katiba ya sasa.. nitajie hata mambo mawili niliyoyataja ambayo yapo kwenye hio katiba ya sasa