Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna utofauti wowote kwa Jaji mkuu na Majaji wa Mahakama kuu na za Rufani? Maana hawa nao wakishateuliwa sidhani kama Rais ana mamlaka ya kuwatengua.
Tofauti Kati ya majaji na CAG ni kwamba, majaji hawana vipindi vya kuteuliwa, yaani akiteuliwa ni mpaka atakapostahafu, atabaki kuwa jaji, anaweza kubadilishwa kituo cha kazi, lakini hawezi kuacha kuwa jaji.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
KENYA

f-5_background.jpg
Screenshot_20220524-142808_Google.jpg













BRAZIL

Screenshot_20220524-143114_Google.jpg
 
Mbona nyie mnaringa na sgr na expressway ya kichina?
emoji1787.png


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kwa wa ujenzi wa infrastructure, china wako sawa kabisa hata inaonyesha USA vumbi, ukiona jinsi majiji yao, barabara,bridges etc yamejengwa yapo sawa kabisa...pia kwa ujenzi wa reli na treni ya umeme, Lakini kwa vitu kama simu, magari, aircraft jamaa tuachie wenyewe...huwezi kuwa champe kwa kila kitu. Hata we unajua ukipewa option ya kununua gari german au chinese utachagua gani.
Northop brought you the Northop spirit B2 stealth Bomber. Most advanced military aircraft ever
1653392160336.png
 

Attachments

  • 1653392104998.png
    1653392104998.png
    190.4 KB · Views: 25
Hakuna kitu unatuambia wewe na hio ndege yenu bandia haiwezi beba any nuclear weapon or medium range missile.
Punguza ujinga wako wewe, hivi unajua maana ya " Nuclear head?", Nendeni mkatafute ndege za kisasa, achaneni na hizo vyuma chakavu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ungefunga bakuli ingekuwa vizuri zaidi. Unajua budget ya Kenya ni 2× bigger than budget yenu? Hata huna aibu kusema eti tuweke budget yetu hapa.
Corruption ya Kenya ni X10 ya Tanzania, kila kitu mnachonunua Bei ni mara 3 ya Ile Tanzania tunalipa, mfano mzuri ni SGR[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Punguza ujinga wako wewe, hivi unajua maana ya " Nuclear head?", Nendeni mkatafute ndege za kisasa, achaneni na hizo vyuma chakavu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Chengdu ndege bandia haiwezi beba any nuclear weapon or medium range missile. Ona armaments za F5, huwezi compare na hio ndege yenu bandia with 5 hardpoint mountings.
1653392543239.png
 
Lazima tuanze kuyajenga kwa watoto wadogo wakiwa shule hadi university yaani haya yanakuwa ni masomo mtambuka...

Hili likifanyika ndio itajenga sense ya kuheshimu Katiba na sheria na kuwajibika vinginevyo kuweka tuu hizo Katiba bila maadili tutazipuuza tunatengeneza mazingira ya upigaji vilevile..

Binafsi kwangu kitu cha muhimu kwenye Katiba nataka mamlaka za serikali za mitaa zipewe nguvu za kujisimamia Ili tutumie rasilimali za maeneo yetu kujijenga kuliko ilivyo sasa unaletewa DED,DC,RC na mambo kama hayo na huna cha kuwafanya..
Naongezea pia somo la Uzalendo ni muhimu kwa watoto lifundishwe kuanzia ngazi za chini hadi juu.

Kufundishwa utunzaji wa mazingira na rasilimali zake ni muhimu sana.Sisi tukiwa wadogo tulikuwa tunaona machapisho mbalimbali kwenye kuta za umma, ofisini, mbao za matangazo na kalenda zinatoa maonyo mbali mbali.

Mfano; Maji ni uhai, Kata mti Panda mti, Miti chanzo cha mvua, Afya ni mali, Tunza mazingira ili yakutunze. N.K.

Hivi vilitujenga sana kisaikolojia kutambua na kuthamani utunzaji wa mazingira, mfano unaona picha ya mti inalia huku ikisema "Usinikate, mimi ninakuletea mvua, kuni, mbao na kivuli,kitotototo unaona ni kweli ukiukata utalia [emoji16][emoji16].

Hii mentality unakua nayo huwezi kukata mti bila sababu ya msingi. Saikolojia pia inatakiw kuwajenga watoto wakiwa bado wadogo ili tupate kizazi chenye maadili.

Hivi matangazo ya sasa hivi tunamsaidiaje mtoto mdogo, Jiunge Freemason uwe Tajiri, badala "Fanya kazi kwa bidii ",Utajiri wa majini, badala waseme Utajiri upo katika "Kilimo bora na Ufugaji"

Dawa za nguvu za kiume:Kwanini isiwe ili uwe na nguvu za kiume zingatia mlo bora na mazoezi?.

Zamani mtoto alivyokuwa akimaliza elimu ya msingi alikuwa na uwezo wa kufanya kazi za mikono baada ya stadi na maarifa aliyoyapata darasani na kuweza kujiajiri, sasa hivi muulize mtoto mboji ni nini na inatumikaje kama ataweza kukwambia. Kwanza ni mdogo kiumri halafu kujua maisha ni nini siyo rahisi kung'amua kutokana na maarifa aliyoyapata na umri wake.

Wazee wetu walikuwa na akili sana walitutunzia rasilimali zetu nyingi pamoja na kutokuwa na elimu ya darasani lakini mazingira waliyajua ipasavyo, leo hii tunajiita wasomi tunakwapua rasilimali za Taifa utadhani tutaenda nazo kaburini, hii ni kwasababu ya umasikini wa fikra, ubinafsi na uchoyo kwamba mwingine asipate.

Tusipowafundisha watoto wetu kujitambua,kujitathimini, kujua umuhimu wa rasilimali zetu na kuzitunza kama si kizazi hiki au vijavyo vitarudi utumwani na kutawaliwa kama ilivyokuwa zamani.

Mababu zetu walikufa kwa ajili yetu ili tuweze kujitawala, akina Mkwawa, Isike, Milambo, Mangi, Kimweri, walipinga kutawaliwa mpaka wengine wakasalitiwa.Hawakuwa wajinga walikataa kuwa vibaraka ili walinde rasilimali kwa ajili ya Fahari ya Mtanzania, leo hii hatuwaoni wa maana tunautukuza uzungu kwa kujua kuongea lugha yao tunajiona tumestaarabika, kumbe tunaelekea utumwani na kwenye ukoloni tena.

Hapa naongelea Afrika nzima,tusipojitambua tutapoteza vizazi vyetu. Sijasema tujitenge na watu lakini tutunze asili yetu kama Waafrika.

Misingi ya Taifa ikiwa mibovu huwezi kujenga Taifa lililo Imara. Turudi kwenye misingi yetu kwa kuwa na elimu yenye kutambua asili yetu. Tuboreshe mitaala ya elimu yetu.

Ahsanteni sana.
 
Tofauti Kati ya majaji na CAG ni kwamba, majaji hawana vipindi vya kuteuliwa, yaani akiteuliwa ni mpaka atakapostahafu, atabaki kuwa jaji, anaweza kubadilishwa kituo cha kazi, lakini hawezi kuacha kuwa jaji.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ni sahihi kabisa.Kwahiyo CAG hakutenguliwa muda wake uliisha.
 
KDF walishapokea training and are now using UAVs, huko bongo jeshi yao haijui drone ni nini. Yani tunaweza wapiga vita or spy on them tukiwa in our own country.

Image
Kawamalizeni kwanza Alshabaab hapo jirani kwenu ndipo uzungumzie kuispy Bongo. Badala mpigane na kumaliza kikundi cha watu wahuni unazungumzia nchi yenye jeshi mahiri.
 
Hahahaha, Kenya still uses second generation fighter jets while the world is entering to sixth generation, hurry up you are very far behind.

In 2013, Tanzania retired 12 Mig 21, which were second generation, and we acquired 14J-7 which are third generation fighter jets.

Soon we are going to by J-10, a fourth generation fighter jet from China.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Binafsi kwa sasa naona kama tungerudi tena kwenye mig au tu upgrade kabisa na sukhoi ingependeza zaidi
 
Back
Top Bottom