Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umezidiwa ukaona heri ubadilishe gear hewani! [emoji23] [emoji23] Nenda Syokimau, Utawala and Ruai (mnayosemanga ni slum) among many other places. Nyumba Kama hizo zimejaa, tena za quality bora
View attachment 2235581View attachment 2235582View attachment 2235583View attachment 2235584View attachment 2235585View attachment 2235587View attachment 2235588View attachment 2235589View attachment 2235590View attachment 2235591View attachment 2235592
Hapo ndipo wanapoishi Wakenya wa kawaida? Mm nmekuwekea nyumba za kawaida kabisa nilizopiga kwa mkono wangu sahizi. Alafu kwnn wakunya hampost picha mlizopiga wenyewe? Mnaogopa tutajuwa mazingira mnayoishi au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Machinjio mpya hii hapa uchumi wetu mkubwa haurusu mazingira ya kishenzi kama hayo ndiyo maana tukajenga mpya[emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2235597View attachment 2235598View attachment 2235599View attachment 2235600
🤣 🤣 🤣 🤣

Image
 
Hapo ndipo wanapoishi Wakenya wa kawaida? Mm nmekuwekea nyumba za kawaida kabisa nilizopiga kwa mkono wangu sahizi. Alafu kwnn wakunya hampost picha mlizopiga wenyewe? Mnaogopa tutajuwa mazingira mnayoishi au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani hizi tunazopost humu zimepigwa na robots? Akili umewacha wapi?
 
Hapo ndipo wanapoishi Wakenya wa kawaida? Mm nmekuwekea nyumba za kawaida kabisa nilizopiga kwa mkono wangu sahizi. Alafu kwnn wakunya hampost picha mlizopiga wenyewe? Mnaogopa tutajuwa mazingira mnayoishi au?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You are becoming too irrational! Eti picha tulizopiga wenyewe!!! Kama guns jibu jipe shuguli coz evidently ushazidiwa
 
Hizo nilizoweka zimepigwa na mkono wa ng'ombe?
Mnaogopa tutajuwa mazingira mnayoishi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom