Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kama wewe mwenyewe umekubali kwamba majumba ambayo yamejengwa Msasani ni duni sasa mbona tusiite eneo hilo slum?
Njoo utembelee hilo eneo maana lipo sehemu nyepesi sana kufika ukija dar ...linapakana na oyster bay na masaki kutoka ufukwe wa coco Beach [emoji950] nikama km 4 hadi 5 umefika msasani .....sema hapo ni uswahilini ila kamwe siyo slum
 
Wacha kumezwa na kasumba za kimagharibi ndugu zinakufanya Uwe kipofu kutoona standard chartered bank na Barclays pia ni za Muingereza na zipo miaka nenda miaka rudi ila zikiwa za mchina zina-facilitate unyonyaji!
Wote wanyonyaji tuu awe mchina au mzungu mm pointi yangu ni wachina ni wengi sana Zambia almost laki moja mpaka benki zao kubwa nyingi zimewekeza uko mfano iyo bank of China haina branches nyingi africa
 
World Cup in Tz

60B4713C-E4A6-4C73-B7D2-6B0519C1231A.jpeg
 
Wewe jibu swali. Kati ya hii yenu na Oshodi bus terminal gani ndio kubwa zaidi kwa maana mnasema kwamba yenu ndio biggest in Afrika??
View attachment 2234980
View attachment 2234981
View attachment 2234982
View attachment 2234983
Magufuli bus station can hold 3456 buses and 200 private cars


Oshodi can accommodate 820 buses


Sasa wewe do the maths yourself kama umeenda shule.




Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hata Tanzania kuna Chinese banks pia!


Japokuwa imechukuliwa na NMB Bank baada ya Liquidity issues

Kuna hii pia!

Kuna Bank Tatu Za Kichina bongo ninazozijua na moja ile IT plaza naona ndio iliyofulia.

IMG_7412.png


Zingine
1. Bank Of China ipo Tanzania toka 2016 Amani Place Opposite Serena Hotel.

IMG_7409.jpg



2.China Dasheng Bank Ltd ipo Ex Telecom kuna Branch Pale chini

IMG_7410.jpg


3.ICBC (Industrial and Commercial Bank of China ) aka stanbic bank [emoji41]

IMG_7411.jpg
 
Ninawashangaa Sana watanzania wanaoichukulia China kuwa ni wanyonyani, tayari propaganda za wazungu zimeanza kufanikiwa.
China is the best friend of African, udhahifu wetu na kushindwa kwa Afrika katika kusimamia maisha na maendeleo yetu, tunataka kulaumu China

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mm nachoamini ni kuwa wote ni wanyonyaji tuu ila lawama zangu kubwa napeleka kwa viongozi wetu wanaowasujudia hao wanyonyaji
 
Wote wanyonyaji tuu awe mchina au mzungu mm pointi yangu ni wachina ni wengi sana Zambia almost laki moja mpaka benki zao kubwa nyingi zimewekeza uko mfano iyo bank of China haina branches nyingi africa
sasa mbona unashadadia umbea wa media ya mnyonyaji mmoja? Unaijua Glencore wewe? hawa wanagombania tonge kwahiyo wako busy kuchafuana!

 
Back
Top Bottom