Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zile ni viroba ndugu, zile sio beer. Ndio maana zinauzwa huku kimagendo. Eti upatikane unakunywa sijiu Serengeti! Ndani lazima utalala
Actually it's in recent days Serengeti priced at 1500

images - 2022-05-23T133940.721.jpeg


images - 2022-05-23T133848.126.jpeg
 
Sasa ndio umefanya nini au uhaba wa picha? Picha moja unaizungusha ili umuongopee nani, au unapata faida gani.
Bongolala, I know you got nothing outside of your cbd, and that's what's paining you most. Hapo nimeweka picha za Gigiri, Upper Hill, Kileleshwa, Westlands, Nairobi West, na hata Spring Valley na maeneo mengine. Sasa mwasho wako ni wa nini? You can't get such pictures outside Dar cbd na hapo ndio mauchungu yako yapo
 
Ndege za samia zimeishia wapi si alituambia kanunua cash ndege mpya 5 zitakuja tz. Mbona imekuwa kimywa sana
Acha ndege tuuu, tuliambiwa kusu arena mbili,treni za umeme zilitakiwa zifike mwishoni mwa april au mwanzoni mwa mai sasa ni 23 of mai, tuliambiwa daraja la pale mto msimbazi sijui kama wanakumbuka tena...
Akuna kitu kinaeleweka so far ngoja tuendelee kusubiri zaidi high inflation, madarasa yaliyonpigiwa chapuo jee yamekamilika na kutosha?
 
Back
Top Bottom