'Ramba' sijui ni gari ya kwenda wapi!Kwani bado tu unalinganisha SGR ya Kunyaland na ya Tz? Una roho ya pakakweli kweli, ramba dawa kdg
View attachment 2235454
Huwa wanaweka picha za uzinduzi wanaongeza na make up, jamaa wachafu sn na hawana elimu ndiyo maana co wastaarabusasa oneni vile thika highway barabara ilivo kabla ya zile filter zao
no filters
View attachment 2235458View attachment 2235459View attachment 2235460










Unataka kuwafukuza hii thread
Sisi tunakichezea kiswahili tunavyotaka huwezi kunifundisha kiswahili wewe jaluo, hapo huwa nasema "ramba" japo najua naweza pia kutumia "lamba" upo jaluo?'Ramba' sijui ni gari ya kwenda wapi!






Nilidhani ushakufa aiseee mana uchaguzi Kenya huwa unaondoka na roho nyingi japo wa mwaka huu utaondoka na roho nyingi sana kuliko miaka yoteUnataka kuwafukuza hii thread





Actually it's in recent days Serengeti priced at 1500Zile ni viroba ndugu, zile sio beer. Ndio maana zinauzwa huku kimagendo. Eti upatikane unakunywa sijiu Serengeti! Ndani lazima utalala
Tofauti ya hii na changaa ni packagingActually it's in recent days Serengeti priced at 1500
View attachment 2235485
View attachment 2235486
Baada ya kufungua Nchi sasa ATCL inaongeza flying frequency 👇
Sasa mbn picha moja umeizungusha zungusha![]()
Nairobi huwezani nayo nduguKama kawaida yake, hanaga picha mpya![]()
sasa oneni vile thika highway barabara ilivo kabla ya zile filter zao 😂😂😂😂
no filters 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2235458View attachment 2235459View attachment 2235460
😂Built in Kenya by Kenyans for Kenyans.
Thank you Tusker FC for practicing "Buy Kenya Build Kenya"
View attachment 2231748
View attachment 2231749
View attachment 2231751
View attachment 2231752
Ushawahi sikia slums Japan?so msiwahai tena tumia Slums kama kigezo cha kupima uwezo wa nchi...
View attachment 2235445
View attachment 2235430
Sasa ndio umefanya nini au uhaba wa picha? Picha moja unaizungusha ili umuongopee nani, au unapata faida gani.Nairobi huwezani nayo ndugu
View attachment 2235470View attachment 2235471View attachment 2235475View attachment 2235477View attachment 2235482View attachment 2235483View attachment 2235494View attachment 2235508
Hebu sasa tuletee zile ghorofa tatu za Kijikonyama pembezoni mwa barabara?
View attachment 2235474
Hakuna kitu wanaogopa kuliko picha kama hizoUnataka kuwafukuza hii thread
Hata US hakuna slums but you often refer to Dar as New York of AfricaUshawahi sikia slums Japan?
Bongolala, I know you got nothing outside of your cbd, and that's what's paining you most. Hapo nimeweka picha za Gigiri, Upper Hill, Kileleshwa, Westlands, Nairobi West, na hata Spring Valley na maeneo mengine. Sasa mwasho wako ni wa nini? You can't get such pictures outside Dar cbd na hapo ndio mauchungu yako yapoSasa ndio umefanya nini au uhaba wa picha? Picha moja unaizungusha ili umuongopee nani, au unapata faida gani.
Acha ndege tuuu, tuliambiwa kusu arena mbili,treni za umeme zilitakiwa zifike mwishoni mwa april au mwanzoni mwa mai sasa ni 23 of mai, tuliambiwa daraja la pale mto msimbazi sijui kama wanakumbuka tena...Ndege za samia zimeishia wapi si alituambia kanunua cash ndege mpya 5 zitakuja tz. Mbona imekuwa kimywa sana
Sema umeathirika na lugha ya mama, senji!Sisi tunakichezea kiswahili tunavyotaka huwezi kunifundisha kiswahili wewe jaluo, hapo huwa nasema "ramba" japo najua naweza pia kutumia "lamba" upo jaluo?![]()
Lakini wao walisema zinakuja mwaka huu, ndio maswali yakaibuka kuhusu muda, na kuwa za mtumbaNdege mpya zinachukua 1 to 2 years kujengwa kisha ndo unafanyiwa delivery ..so expected ni 2023