Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baada ya Ksh.sasa ni Ush.kuporomoka.

Only Tsh is gaining strength against us dollar 👇

Screenshot_20220520-131215.png
 
Land compensation in our case crosed the 30 billion Kenya shillings mark. Sijui hizo ni trilioni ngapi hela za madafu.
And then land compensation wasn't just in two regions like I have seen above. It was along the entire stretch

So now umekubali kuwa land compensation inafanyika Tanzania?
Au bado utaendelea na ukondoo!

Hapo nilipost tu ya Dodoma, sijapost land compensation ya Dar Es Salaam, Morogoro na awamu zingine.

Upgrade MGR!
 
Built in Kenya by Kenyans for Kenyans.

Thank you Tusker FC for practicing "Buy Kenya Build Kenya"

1653045106531.jpg


1653045091395.jpg


1653045096351.jpg


1653045099673.jpg
 
Tukiwaambia Muweke maendeleo ya Konza city mnaweka nyumba mbili.
Kwako maendeleo ni nyumba tu? Barabara ya lami sio maendeleo kwa city inayojengwa from scratch? Mitaro za maji na sewage sio maendeleo? Fibre optic cables sio maendeleo? Nyaya za umeme kwanza ambazo zinawekwa underground sio maendeleo? Lazima uone majengo ndio ujuwe kwamba kuna maendeleo sio?
 
Tatizo lao ni vyombo vyao vya habari na viongozi wao kwa muda mrefu wamekuwa wakiwajaza ujinga na wao wenyewe bila kuchuja yamekua yakiimba Kama mazuzu, Wala hawamjui maana ya serikali kuwa ndio yenye kumiliki ardhi, wajinga Sana hawa jamaa
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Wanadhani labda serikali kumiliki ardhi ni anytime serikali inaweza kukunyanganya hiyo ardhi bila land compensation yoyote.

Au huwa hawaelewi maana ya kulipwa fidia!
 
Your BRT is not an expressway cause of the stations placed 200 meters apart. Gari inamove kidogo alafu inasimama tena. So what kind of expressway is that?
Unafikiri ni kila gari inasimama kila kituo? Kwenye terminus unaboard bus kuendana na stations zake, usifikiri kisa ni destination moja bas any intermediate station will be allowed to drop and pick, nope hii ni system na ndio maana imewashinda 😅😅😅
 
Back
Top Bottom