Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 22,104
- 17,822
Hii inaonyessa jinsi wanavyoumia ndani ya roho 😂Naona mnaendelea kupunguza polepole from 27 to 11 to 8km, by the Time tunafika next year itakuwa 1km sio?
Alafu acha kujikaza sana, Dar hamna expressway, don't copy paste ati sasa kwa sababu Nairobi imejenga expressway mnataka kulazimisha njia zenu ziwe expressway pia, The best 007 ameshinda hapa akisema kimara kibaha ni expressway leo unasema brt project yenu ni expressway 😅 kwani ni kubatiza tu njia? Pia sisi tunazo njia zingine ila sio za expressway 😅