Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkiambiwa upgraded MGR yenu ni ghali bila sababu zozote za msingi mnakimbilia kutetea upumbavu.
Uliambiwa na nani SGR ya umeme Tanzania hakuna land compensation?

Specification! [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2231461
Land compensation in our case crosed the 30 billion Kenya shillings mark. Sijui hizo ni trilioni ngapi hela za madafu.
And then land compensation wasn't just in two regions like I have seen above. It was along the entire stretch
 
For Tanzanians to use unlimited lazima waende Kwa hile Library ya Mchina.
Masokoni, stendi za daladala, maeneo ya kupumzikia, vyuoni mashuleni na public hospitals kote huko kuna free Wi-Fi

Screenshot_20220520-123140.png
 
Mkiambiwa upgraded MGR yenu ni ghali bila sababu zozote za msingi mnakimbilia kutetea upumbavu.
Uliambiwa na nani SGR ya umeme Tanzania hakuna land compensation?

Specification! [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2231461
Tatizo lao ni vyombo vyao vya habari na viongozi wao kwa muda mrefu wamekuwa wakiwajaza ujinga na wao wenyewe bila kuchuja yamekua yakiimba Kama mazuzu, Wala hawamjui maana ya serikali kuwa ndio yenye kumiliki ardhi, wajinga Sana hawa jamaa
Tony254

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Bongolala, I know how much excited you people feel when you see such houses in Dar. In Nairobi, they are virtually everywhere and that's why everytime we post them, mnakasirika to the point of calling them dormitories zinazofanana just because you don't have them. Iweje leo unashabikia dormitory??
Haya majaruba unayatolea Maelezo saa ngapi? 🤔

images (94).jpeg
 
Kwa hivyo unataka kutudanganya kwamba hakuna traffic jam huko Dar es Salaam? Interchange kazi yake ni kupunguza traffic jam na ndio maana pia nyinyi mnastahili kuanza kuzijenga ili kupunguza jam. Interchange inazuia mkusanyiko wa magari katika junctions au katika round-abouts. Mkijenga interchange basi mtaondoa round-abouts zenu. Kitu kimoja ambacho interchange inafanya ni kwamba gari haipunguzi speed inapofika kwenye junction, gari inapanda viaduct (barabara ya juu) na kuendelea na safari, halafu gari za chini nazo zinaendelea na safari bila kupunguza speed.

Tatizo la kujenga expressway ni kwamba inahitaji interchange zijengwe katika kila junction na ndio maana inaitwa expressway kwa sababu hakuna kupunguza speed ili kupisha magari kwenye junction au kwenye round-abouts. Ila ujenzi wa interchange ni very expensive kwa sababu inahitaji ujenzi wa interchange katika kila junction.
coodip1 Kuendelea na wazo langu ni kwamba ikiwa kuna junction hata moja ambayo haina interchange basi hilo barabara haliwezi kuitwa expressway. Hii ni kwa sababu magari yatalazimika kupunguza speed zitakapofika kwenye hio junction, kumbuka kwenye junction kwa madereva tunajua kwamba lazima usimame na "you give way to vehicles on your right." Kisheria dereva analazimika kusimamisha gari kabisa na kupeana nafasi kwa magari ambazo zinatokea upande wa kulia. Sasa kwenye interchange hakuna kusimama ili kupeana nafasi kwa magari zinazotokea upande wa kulia. Hii expressway ya Kenya ya 27 kilometres mwendo ni nywee hata kwenye hizo junctions 10 hakuna kupunguza speed, speed ni almost constant katika the whole 27 kilometres. Pia hakuna vidhibiti mwendo (bumps) kwa sababu hizo pia zitapunguza speed na pia kwa sababu hakuna wavuka njia.
 
Who is the developer of Avic Town? And who is the developer of Kigamboni city? If these two projects have different developers how can they be the same thing?
Kigamboni city ni master plan ya Kigamboni there are several developers kwenye huo mradi Avic being one of them, NSSF pia etc.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom