dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
hai hapana.. durban wachana nayo.!
Hii ndio Accra tuliambiwa ipo mbele ya Dar by miles 😂😂😂😂
Tatizo lako ww una hasira sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jackpot ya UJINGA!!!
Ksh65m!!!!
Mm naangalia aina za gari za Kenya, nyingi zimechoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ati……[emoji28][emoji28]View attachment 2229732
Umeulizwa wako wapi hao 5,553 wamekufa au? Wewe unaleta ucartoon kama kawaida.Bado umekwama Kwa data za 2019?
Duh aisee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ni nini?
Washakubali kwenye bus terminals.modern bus terminals in mwanza
nyamongoro
nyegezi
Nimeshindwa kumuelewa kwa kweli huyo kichaa eti $539k anasema eti jackpot ya kijinga 😂😂😂 jamaa anachuki na sisi mpaka anakua mpumbavuTatizo lako ww una hasira sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio Accra tuliambiwa ipo mbele ya Dar by miles [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bora hata Nairobi aisee, co kwa vumbi hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ndio Accra tuliambiwa ipo mbele ya Dar by miles [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weeeh labda Dodoma ya 90s mkuu co Dodoma ya leo, hilo vumbi nakwambia Nairobi ina afadhali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii Accra ni dodoma iliyochangamka, hakuna Kitu
Huyo huwa ana hasira sn ni wakumuacha tu huenda life imempiga sn.Nimeshindwa kumuelewa kwa kweli huyo kichaa eti $539k anasema eti jackpot ya kijinga [emoji23][emoji23][emoji23] jamaa anachuki na sisi mpaka anakua mpumbavu
Embu tuwaoneshe hawa wakulungwa jinsi matangazo ya LED kwenye viwanja vya Tanzania yalivyo.[emoji16]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hiyo gharama ya LED tu unapata viwanja viwili vya Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Embu tuwaoneshe hawa wakulungwa jinsi matangazo ya LED kwenye viwanja vya Tanzania yalivyo.[emoji16]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wenzako walisema watakuja dar kuonyesha slum mpaka saahii hakuna hata mmoja kaweza wewe ujiulizi kwanini, nyinyi mna kota ....mitaa yenu ni kama mitaa yetu ya kota za majeshi ni nyumba zimefananaHivi kuna mtaa hapo Tanzania unaoweza kufikia Westlands?[emoji1787][emoji1787]
Niton Green ndio nini? Mimi najua Lavington green na pia hapo Tanzania hakuna mtaa unaoweza fikia Lavington green kwa ubora. Kama ni majina ya kiafrika tunayo Kileleshwa, Muthaiga, Loresho, Nyari, Gigiri, Thigiri, Muthangari, Kyuna, Kilimani, Milimani, Riara n.k ambazo hakuna mtaa hapo Dar unaoweza kuzifikia.
Kama unabelieve the first report why can't you believe the second one cause both reports were released by the same organization.Umeulizwa wako wapi hao 5,553 wamekufa au? Wewe unaleta ucartoon kama kawaida.