IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 7,284
- 9,448
Hakuna jipya hapa, unaweza ku compare budget ya tzs 1tn na ingine ya over and above kes 200bn?Weka data,mna Health facilities ngapi Nchi yenu yote? Nataka data sio kujichekesha hapa..
Tukitoka kwenye Afya tutakuja kwenye maji na Chakula.
Soma hiyo attachment hapo Chini,kuna ujenzi wa Hospital mpya unaendelea na Ujenzi wa Hospital nyingine ya Rufaa ya Kanda ya Magharibi unaanza mwaka huu 👇
View attachment 2228930
View attachment 2228931