Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

AKA MSUKUMA MKOKOTENI
Chamoto jamaa wa certificate in software programming, Justinr mjamaa wa kusukuma mkokoteni na chongchung mjamaa jobless nimeshawaeleza mambo ya accounting wacheni nayo. Mnajaribu kupingana na mtu aliyesomea haya mambo hadi mwisho. I am a CPA (K). Mwanzoni mwa jina langu ninaruhusiwa kuandika neno CPA kwa sababu CPA ni title yangu ila huwa naandika Mr. kwa sababu sipendi maringo kama nyinyi. Yaani nimesomea uhasibu hadi cheti cha mwisho kabisa cha section 6 na kuhitimu. Kwa hivyo muwache kudanganya watu humu.
Eti Chamoto una-argue vitu usivyovielewa. Wewe umewahi kuunda balance sheet yoyote maishani mwako? Kama hujui vitu vipi vinafall under assets na vitu vipi vinafall under liability unafunga bakuli lako sio kutupigia makelele hapa. Na Justinr unang'ang'ana kwamba ikiwa mtu mmoja anaishi ndani ya nyumba basi hio nyumba ni liability. Plenty of brain-dead people in this forum.
View attachment 2229116
View attachment 2229073
View attachment 2229124
Cc NDINDA
joto la jiwe
Naitaji ujibu hilo swali, alafu ww aliye kudanganya kuwa accountant ndoi compitent pekeyao nani? Kwaiyo economist hawako compitent?
Umesoma ukafikia CPA, lakini huwezi tofautisha kati ya asset na liability kazi sanaa, najua bankers what they see is money in every thing but that sometimes turn them into brindness to a naked things
 
[emoji1787] Kweli ule msemo wa Elon mask umejidhihirisha. Pamoja na vyeti vyote hivyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
The most beautiful interchange in East and Central Africa [emoji7][emoji7][emoji3059]
JamiiForums723914364.jpg
 
Tanzania railway line is twice the length of Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC and Sudan railway lines combined [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2229237
BTW hii TAZARA ni section ya Tanzania tu as the whole length is 1860 km (the length of the whole Kunyaland's railline) ! Mind u the SGR Tanzania thet is U/C was not factored in!
 
Back
Top Bottom