Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe soja The best 007 mambo ya elimu wachana nayo kabisa, hadi ile siku mutakua na 100% transition to secondary school. Hakuna vile unaweza compare Kenya ambayo ikona double the number of high school candidates na Tanzania. Bado munadrop out of primary school in 2022. 🤣 🤣 🤣

Yani hamjafikisha hata half a million candidates alafu private schools ndio zinatop performance za secondary schools, na vile mkona kelele za chura.


Mkifika hii level nitafunga account.

Asante kwa kunipa uhakika wa mashaka niliokua nayo kwa muda mrefu juu ya population kamili ya Wakenya

Siku zote nimekua na doubt kuhusu uhalali wa number of Kenyans, mnasema mpo million 55 kumbe mpo zaidi ya million 70 yote hii ni ili muonekane na GDP kubwa, Nairobi is always look like those high packed Indian cities overpopulated kila kona quite opposite from Dar

Ngoja nilivalie hili suala njuga
 
Oyaa mimi huwa sikurupuki. Ninaposema kwamba Vanessa Mdee anatokea katika familia ya kitajiri najua ninachosema. Baba ya Vanessa Mdee alikuwa ni Balozi kwa jina Sammy Mdee. Sasa Balozi utasema ni mtu masikini?
Alikua anafanya kazi Nairobi that's why, lakini kusema Watanzania wanaosoma Nairobi ni wenye pesa, those in US, Europe and Asia look jokers to you?
 
Asante kwa kunipa uhakika wa mashaka niliokua nayo kwa muda mrefu juu ya population kamili ya Wakenya

Siku zote nimekua na doubt kuhusu uhalali wa number of Kenyans, mnasema mpo million 55 kumbe mpo zaidi ya million 70 yote hii ni ili muonekane na GDP kubwa, Nairobi is always look like those high packed Indian cities overpopulated kila kona quite opposite from Dar

Ngoja nilivalie hili suala njuga
Wacha kujitetea kila mtu anajua population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya , Tanzania bado imejaa primary school dropouts wakati Kenya inafanya 100% transition.
 
but where the hell on earth can one dare compare a Hollywood LA Star.! a starring figure in films tht are among the highest grossing Movies of all time.! a world renowned Icon.! a winner of the most sort after and coveted award..... The Oscar.!View attachment 2227723

with a local East African Bongo Flava kiswahili Artiste..View attachment 2227724

somethng was must be up with you.. your upstairs must be the matter. i recommend you check a psychiatrist the soonest.!
Nimeandika nikafuta ×3,nimeona bora niishie hapa.
 
Kuna mahali hapo juu nilisema sisi huwa hatuna tabia ya kuthaminisha vizuri mali zetu. Angalia GDP yetu, inaonekana ndogo lakini tunajenga Bwawa, SGR phase I, barabara na miradi mingine kwa fedha zetu.

Ukijumlisha tuu thamani magari ya Diamond (japo ni liabilty) yanafika zaidi ya $1 mil. Kampuni zake, royalties za kazi zake, brand yake, nyumba n.k jamaa anaweza kuwa na hata $100mil.

Lupita kwenye hizo filamu zake hana royalties, yeye ni mwajiriwa tuu anayelipwa mara moja kwa filamu.
Ni kweli kabisa magari sio asset, lakini garama yake inafika 1m usd, mfano hii ya RR cullinan tu ni dollar laki sita na ushee exclude gharama ya kusafirisha mpka Bongo na kodi juu
Screenshot_20220517-111547.jpg
 
Wacha kujitetea kila mtu anajua population ya Tanzania ni kubwa kuliko ya Kenya , Tanzania bado imejaa primary school dropouts wakati Kenya inafanya 100% transition.
Ordinary level secondary education ni compulsory Tanzania na ni bure so hakuna mtu mwenye excuse ya kutompeleka mtoto shule kwa sababu yoyote ile

The only reason wakenya mna idadi kubwa ya wanafunzi ni kutokana na population kubwa mliyonayo kuliko Tanzania
 
Back
Top Bottom