Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni private road kwa sasa. Contractor mwenyewe ana majukumu ya kuilinda na kuitunza. Tegemea usafi wa barabara hii ubakie kama ulivyo sasa. Serikali ndio huwa careless kwenye kumaintain vitu ila private sector huwa wapo serious.
Haaaa kumbe serikali yenu ni careless , noted
 
Did you know that Tanzanian minister for health once begged Kenyan government to allow tanzanians to come and get better treatment in Kenya.

Screenshot_20220317-202255.png


Screenshot_20220317-202337.png
 
Njaa mbaya sana, yaani wanafikiria kuweka ugali kwenye friji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Dah!

Njaa mbaya sana, jamaa awachezi na chakula, mimi sijawahi kula hata rice toka kwenye friji, imagine, Kenyans na ugali kwenye friji [emoji1787]
Mkuu umenichekesha sana ,dah! Ugali kabisa kwenye fridge[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wewe ukisema Morogoro Road ni 39km hizo 39 zote ziko Dar? [emoji1787] [emoji1787]

Halafu huyo anayelialia eti 263km haziko Nairobi ni yeye mwenyewe aliyeanza ooh Morogoro road ni 40km, sasa keshaona 263km dwarfs 40km by far ndio ameanza kulia eti "Mtu anasema barabara za Nairobi then anasema Thika ni 263km sasa kweli Nairobi inastretch 263km?" Sindano babaa [emoji1787] [emoji1787]

CC RRONDO
Yes zote ziko Dar na bado hazijaimaliza Dar.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wana hesabu kali aisee mpaka huruma

Thinking about eating frozen ugali [emoji3063][emoji3063][emoji3063]

Haingii akilini kabisa, hata kula ugali uliolala kwenye nyumba nyingi za kitanzania hilo halipo kabisa, ugali ukibaki lazima utupwe na sababu nyumba nyingi za kitanzania zina mifugo mara nyingi hupewa mbwa au kuku

Wakunya wanapiga hesabu kali hapo kinoma [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

We take things for granted a lot!
Kweli bwana ugali uliolala huwa ni chakula cha kuku maana haufai tena kwa matumizi ya binadamu, ila watu wana maisha magumu sana wanakuja humu kujibaraguza.
 
Nyumba za million 1 $ mnaona mmefika?

Hii milioni 10 wala sio Dar 😂


You were talking about Karen idiot, hio video umeleta ni ya Karen? Karen sio level ya mtu, most importantly the entire tz. Izo vitu unatuonyesha sio mapya
 
Back
Top Bottom