It's called being knowledgeable. Hata za Kampala nazijua, za Nairobi nazijua, za Mombasa nazijua, na miji mingine mingi. Halafu hizi barabara zote ziko Google maps unaweza ziangalia wakati wowote ukitaka. Hiyo sii kufuatilia bali kujua Geography. Ila mtu wa kawaida Nairobi hafuatilii Dar kama wa Dar anavyofuatilia nairobi.
Halafu kulinganisha Dodoma na miji ya Kenya kwa dual carriageways ni kicheko. Shida yenu Wabongo vitu nyingi mmepata juzi so mnakuwa excited. Hivi Dodoma utapata barabara kama hii iliyoko Mombasa? Heehee