🤣🤣🤣🤣 Wana hesabu kali aisee mpaka huruma
Thinking about eating frozen ugali 🥶🥶🥶
Haingii akilini kabisa, hata kula ugali uliolala kwenye nyumba nyingi za kitanzania hilo halipo kabisa, ugali ukibaki lazima utupwe na sababu nyumba nyingi za kitanzania zina mifugo mara nyingi hupewa mbwa au kuku
Wakunya wanapiga hesabu kali hapo kinoma 😂😂😂😂
We take things for granted a lot!
Njaa mbaya mno, uki jumlisha na kutokua na uhakika wa chakula ndio zima waweke chochote kilichobaki mahala salama.Mkuu umenichekesha sana ,dah! Ugali kabisa kwenye fridge![]()
Fool Aga Khan is not Kenyan!
Sikiliza hiyo clip, walikua wakishauriana, yaani kumbe, waliweka ubwabwa kwenye friji the day before😔Mkuu umenichekesha sana ,dah! Ugali kabisa kwenye fridge![]()
A kunyan company Kundan Singh was stripped off the contract after demonstrating lack of capacity to undertake the project!
hivi, ungekua unaishi kenya kamavile Shebby01 ndo ungeelewa kua chakula kenya sio issue hata kidogo. ni kingi saana...Kweli bwana ugali uliolala huwa ni chakula cha kuku maana haufai tena kwa matumizi ya binadamu, ila watu wana maisha magumu sana wanakuja humu kujibaraguza.
Wakunya ni mafukara kutoka utosini mpaka unyayo ndio maana mara nyingi wana hasira kaliKweli bwana ugali uliolala huwa ni chakula cha kuku maana haufai tena kwa matumizi ya binadamu, ila watu wana maisha magumu sana wanakuja humu kujibaraguza.
Huyu mbwa kwa jina la Farmaajo, rais wa Somalia ameondolewa. Amefanyia Kenya madhambi mengi sana. Yeye ndio aliban Kenya kuexport miraa to Somalia. Yeye ndio alikataa kuondoa kesi mahakamani na kukataa kunegotiate na Kenya kwenye kesi ya ICJ. Alidhani ataongoza milele.
😂😂😂😂😂Mbaya ni kwamba, wanajirecord as though wanaongea na Wakenya wenzao , wasijue wanatushangaza.
Familia gani Tanzania inaweka ugali kwenye friji?? aisee, mi sijawahi kuona wala kusikia.
Jamaa wana hali mbaya sana!
The fool pictured was a hero for saving that huge and dirty Ugali!🙄🙄View attachment 2226353
90% ya chakula Chenu mnategemea Tanzania na siku zote imported goods are never been cheap, nafikiria tu horohoro kupo hivi, vipi mipaka mingine ambayo ndio ipo busy kuliko horohoro?hivi, ungekua unaishi kenya kamavile Shebby01 ndo ungeelewa kua chakula kenya sio issue hata kidogo. ni kingi saana...
haya munayo angazia hapa kila kukicha, ni ile hali tu ya kutafutia kenya makosa, ili tu mradi........
Huyo mnuka mavi ni cartoon huyo huwa anaropoka tu ili kujifurahisha, huoni hata wakunya wenzie hawampi attention? Umempiga punches za hatari lkn bado anaendeleza u cartoon mbwa huyo










Unaendelea kumpiga lkn huyo mnuka mavi hakomi










Nadhani ss mmeona jinsi mnuka mavi alivyo cartoon mbn cc Watz au baadhi ya wakunya hawapo kama huyu mnuka mavi, unaweka habari za uongo ili zikuliwaze alafu ndio upate nnHumu utadanganya wakunya wenzako tu ila sio Watanzania.
View attachment 2226309







ungejua baba level huku Dar ni tunamwona kama mwendawazimu, hivi role model akiwa mwendawazimu, wewe utakuwa ni nani?iwe expressway ama kitu gani,the bottom line Nai is way beyond your league.kama huamini uliza baba levo.😂
Informal settlementss? What do you mean?Dar is full of informal settlements slums lakini hampendi kuambiwa ukweli, but data doesn't lie. 🤣🤣🤣 Ukweli wa data analysis ndio tunatumia hapa.
Ona tu hii area yote in brown ni slums tupu, informal housing.
![]()
Nairobi
![]()