Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

U
Ulisahau hii picha mkuu bora nikukumbusheView attachment 2220037
Haya ni maisha yetu Watanzania ndio maana watoto wetu siku hizi sikukuu wanaona kitu cha kawaida maana hamna jipya. Wanakula mara kwa mara nguo wanavaa mpya kila mara,kama matembezi wanatolewa out na wazazi wao, tuna maisha mazuri watz, sikukuu haina mvuto sana siku hizi.
 
Haya ni maisha yetu Watanzania ndio maana watoto wetu siku hizi sikukuu wanaona kitu cha kawaida maana hamna jipya. Wanakula mara kwa mara nguo wanavaa mpya kila mara,kama matembezi wanatolewa out na wazazi wao, tuna maisha mazuri watz, sikukuu haina mvuto sana siku hizi.
Aisee ni neema kubwa kuzaliwa tanzania tumshukuru Mungu sana!
 
Most authors of these bias articles are silly Kenyans who are being sponsored by their failed government to run diabolical campaigns aimed at discrediting Dar es salam port.

Haziwasaidii sana, kwakua maneno bila vitendo ni ujinga. Wao wanaongea na kutuponda kila siku lakiji watu wakija Tanzania, hawaridi tena kwao - iwe ni utalii ama vyovyote vile.
Kaka hawa watu ndivyo walivyo ni wapondaji lakini wanajua uzuri wa Watanzania na Tanzania kwa ujumla hakuna Mkenya ambaye anaweza kuja hapa kwetu halafu akatamani maisha ya nyumbani kwao labda awe ni zile familia chache za kitajiri.
 
Aisee ni neema kubwa kuzaliwa tanzania tumshukuru Mungu sana!
Ni neema kubwa mno, kwanza ile amani ya moyo tuliyo nayo sisi Watanzania na furaha ni jambo la kumshukuru Mungu sana.Ebu fikiria unaweza kutoka Mtwara hadi Bukoba hujaulizwa kitambulisho chako, unafika huko unageuza unakwenda hadi Mbeya hujaulizwa umetokea wapi, bado unaelekea Arusha hakuna mtu anakuuliza wewe ni kabila gani.

Kote huko kuna watu unakutana nao mnapeana namba mnawasiliana vizuri, siku ukiondoka unaulizwa vipi ulifika salama ndugu yangu/yetu.Tayari ni ndugu maana umeshafahamika.

Watu wakiuliza wewe ni wapi au kabila gani wanapenda kujua asili yako ili kama ukipatwa na tatizo wajue ni jinsi gani watakusaidia au kuwasiliana na ndg zako, wengine utakuta ni watani wako mnaanza kutaniana lakini si kwa ajili ya kukubagua.

Hata humu kuna wakati tunaitana ndg yangu, mkuu, boss,rafiki yangu,bro ,but it is quite different from Kenyans.
 
Kaka hawa watu ndivyo walivyo ni wapondaji lakini wanajua uzuri wa Watanzania na Tanzania kwa ujumla hakuna Mkenya ambaye anaweza kuja hapa kwetu halafu akatamani maisha ya nyumbani kwao labda awe ni zile familia chache za kitajiri.
Wakenya wote wangependa wawe Watz, mkenya ukimwambia unafanana na Watz anafurahi kinoma, mm huwa nawaongopea "mbn ww unafanana na Watz yn haupo kama mkenya kabisa" huwa wanafurahi sana na wengi wao hunijibu "asante bhn" huku wanatabasamu.

Kuna mmoja juzi pale kazini baada ya kukagua docs zake nikamwambia kumbe wewe ni mkenya, akajibu kwani wanionaje nimekaa ki Tz? Nikamwambia ndio upo kama mbongo, akafurahi sn akajibu asante sana ndugu yangu.

So nimegundua kwamba over 95% ya Wakenya wanapenda kuwa watanzania ila less than 0.01% ya Watz wanapenda kuwa Wakenya, pia nmegundua Wakenya wote wangependa kuishi Tanzania ila hakuna mtz angependa kuishi Kenya.
 
Jameni hii mitungi ya chang'aa ndio mlikuwa mnaiita bullet train???
20220511_123756.jpg
 
Wakenya wote wangependa wawe Watz, mkenya ukimwambia unafanana na Watz anafurahi kinoma, mm huwa nawaongopea "mbn ww unafanana na Watz yn haupo kama mkenya kabisa" huwa wanafurahi sana na wengi wao hunijibu "asante bhn" huku wanatabasamu.

Kuna mmoja juzi pale kazini baada ya kukagua docs zake nikamwambia kumbe wewe ni mkenya, akajibu kwani wanionaje nimekaa ki Tz? Nikamwambia ndio upo kama mbongo, akafurahi sn akajibu asante sana ndugu yangu.

So nimegundua kwamba over 95% ya Wakenya wanapenda kuwa watanzania ila less than 0.01% ya Watz wanapenda kuwa Wakenya, pia nmegundua Wakenya wote wangependa kuishi Tanzania ila hakuna mtz angependa kuishi Kenya.
Akasema ahsnte sana ndugu yangu. Yaani ya kiungwana kabisa. It so touching aisee. Unajua tunaongea kama utani ila ni uhalisia. Ila sasa wewe ndio umezidi kabisa unawaenjoy hatare wakikugundua unapelekwa Kibera concentration camp (shauri yako)
 
Back
Top Bottom