Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jameni hii mitungi ya chang'aa ndio mlikuwa mnaiita bullet train???
View attachment 2220429
Kwa uelewa wangu..
For passenger trains..kuna mikataba miwili
1. Ya hawa Sung Shin
2. Then na hyundai

pic uliyoweka ni hawa sung shin..ambazo ni ya MGR.. for SGR, zitakuwa hizi EMU thou naziona low quality
Screenshot_20220511-130807_Chrome.jpg


Screenshot_20220511-130745_Chrome.jpg


Ya kutoka hyundai..zitakuwa hiv
images.jpeg
 
Wakati ile inashusha sasa hivi, kuna hii hapa pia inajongea taratiibu kuelekea Bandarini.

View attachment 2220439
Ebwanae mambo ni moto si mchezo. Halafu eti Watanzania hawana hela wakati mwezi huu tu wataingiza magari karibu 2500, mzunguko wake si mchezo kwenye mafuta na usajili. Ile ya juzi meli moja karibu magari 800 yalibaki hapa nchini,na zipo meli tatu kubwa bado zile ndogo ambazo zipo karibu kila siku.
 
Ni neema kubwa mno, kwanza ile amani ya moyo tuliyo nayo sisi Watanzania na furaha ni jambo la kumshukuru Mungu sana.Ebu fikiria unaweza kutoka Mtwara hadi Bukoba hujaulizwa kitambulisho chako, unafika huko unageuza unakwenda hadi Mbeya hujaulizwa umetokea wapi, bado unaelekea Arusha hakuna mtu anakuuliza wewe ni kabila gani.

Kote huko kuna watu unakutana nao mnapeana namba mnawasiliana vizuri, siku ukiondoka unaulizwa vipi ulifika salama ndugu yangu/yetu.Tayari ni ndugu maana umeshafahamika.

Watu wakiuliza wewe ni wapi au kabila gani wanapenda kujua asili yako ili kama ukipatwa na tatizo wajue ni jinsi gani watakusaidia au kuwasiliana na ndg zako, wengine utakuta ni watani wako mnaanza kutaniana lakini si kwa ajili ya kukubagua.

Hata humu kuna wakati tunaitana ndg yangu, mkuu, boss,rafiki yangu,bro ,but it is quite different from Kenyans.
Kweli sana brother wenzetu hata huny wana dharauliana simply mtu ametoka pande fulani au kabila fulani emu Tony254 nini maaana ya kehe maana kuna jamaa mmoja mkenya aliitwa hilo jina na mwenzake daaah jazba zilimpanda sana!
 
Jifiche kwenye pazia ila umenielewa 😁😁😁😁😁😁
Mbona tushawazoea?! Every data that paints your country in a negative way lazima iwe ya uongo/ya kupikwa/ya mabeberu. Living in denial is in your DNA
 
Back
Top Bottom