Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mikunya wafalme wa umasikini ukanda huu.
Are you sure? 😂 😂 😂
Screenshot_20220501-110859.png
 
Kaka hawa watu ndivyo walivyo ni wapondaji lakini wanajua uzuri wa Watanzania na Tanzania kwa ujumla hakuna Mkenya ambaye anaweza kuja hapa kwetu halafu akatamani maisha ya nyumbani kwao labda awe ni zile familia chache za kitajiri.
Kenyan dream ni kuishi,kufanya kazi Tanzania na hata mapenzi,kwa mkenya kuolewa au kuoa na mbongo ni fahari kubwa n.k
 
Back
Top Bottom