Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Idiots claim this to be free public service 🙄

View attachment 2217271
Huju jamaa huwa anapenda kulazimisha issues sana 😅

Mimi niko Mombasa sijawahi kusikia mtu amelipa kuingia mama ngina waterfront, let alone mimi mwenyewe kulipa so wewe endelea kuamini unachotaka, naona wewe ni kawaida yako ku force sana😅😅
 
Mimi nimekua Kwa kuaminishwa kwamba wakunya ni njaa kali. Hata akiwa na koti ya suti utakuta shati ndani imechanika. Na Kwa wale wazee wa kabila ya Baba wa Kibra ndio kabisa utakuta ako na briefcase ila ndani iko na uchafu na mawe tu ya kurushia watu.

Yani wakunya ni busy for nothing creatures. Wapo wapo tu... Wanaishi vile Jayden na Familia yake wanataka mambo yaende.

Ujinga kama huu kumnyang'anya Silaha nzito kama hii mwanajeshi mpk boxer inaonekana 😂 kwetu hii ingekuwa kesi nzito 😂
 
yes.. i truely concur🙏🏽🙏🏽, we kenyans stereotype tanzania as a poor country, its pipo are laidback, lazy, illiterate, not affluent, use only kiswahili as official cum franca lingua, lacking exposure and what have you..
You're trying to be friendly with these idiots? See how you regretted even before you did it. 🚮 🚮 🚮
 
Mimi nimekua Kwa kuaminishwa kwamba wakunya ni njaa kali. Hata akiwa na koti ya suti utakuta shati ndani imechanika. Na Kwa wale wazee wa kabila ya Baba wa Kibra ndio kabisa utakuta ako na briefcase ila ndani iko na uchafu na mawe tu ya kurushia watu.

Yani wakunya ni busy for nothing creatures. Wapo wapo tu... Wanaishi vile Jayden na Familia yake wanataka mambo yaende.
Sisi kitaani kwetu mtu ukimpiga kirungu hata cha jero kama hana huwa anasema "Dah kama Kenya mwanangu" hapo tunakuwa tushaelewa kwamba huyo mtu anamaanisha hana kitu yani yeye mwenyewe ana njaa kama Kenya.
 
Kuna mkunya mmoja juzi alikuwa anasafiri anarudi kwao Kunyaland, nikamuuliza ww ni mkenya? Akajibu kwn ninafanana aje? Nafanania mtz nikamjibu yeah you look like a Tanzanian, akafurahi sn akajibu asante.

Kiukweli Wakenya wote wangependa kuwa Watz ila ni watz wachache mno km co hakuna kabisa anayependa kuwa mkenya.
Masikini aliona umempandisha daraja
 
Screenshot_20220509-024254_Chrome.jpg
NairobiWalker, may be u didn't understand wht i actualy ment. i was actualy responding to Shebby01 who said that kenyans prejudice or see tanzanians in a negative way. i was actual assuring him tht whatever he just said is actualy very true ie.'concuring', tht kenyans think of tanzanians as an inferior country.

nb: their's no day I can ever befriend these idiots.!!
 
NairobiWalker, may be u didn't understand wht i actualy ment. i was actualy responding to Shebby01 who said that kenyans prejudice or see tanzanians in a negative way. i was actual assuring him tht whatever he just said is actualy true ie.'concuring', tht kenyans think of tanzanians as an inferior country.

nb: their's no day I can ever befriend these idiots.!!
Sisi ni tishio kwenu. Kila mtu analijua hilo
 
Julius Nyerere ana umuhimu gani katika siasa za Tanganyika kwa sasa?
Hapo ndipo mnapojidhalilisha na kuonekana ninyi ni wapumbavu wa mwisho, mbona sijauliza kuhusu Jommo Kenyatta, kwasababu alikua kiongozi na aliacha "Legacy" hapo Kenya, Sasa mama Ngina alikua nani hapo Kenya zaidi ya kumvulia chupi Jommo Kenyatta?, Kwahiyo mnakumbuka na kuenzi "Legacy" ya kuvua chupi?,

Hivi unaweza kunitajia jina la mke wa rais wa nchi yoyote hapa duniani ukiwacha Winnie Mandela ambaye yeye mwenyewe binafsi alikua mwanaharakati mkubwa, ambaye hadi Leo watu wanamuenzi na kumkubuka?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tanzania is a sh*t-hole country. Niliwaambia huu mradi wa JNHPP ni white elephant na mkapinga. Sasa mradi wenyewe ambao ulikuwa ukamilike mwezi ujao sasa umesongezwa hadi 2024. Nilijua tu kwamba yule mzee wa kuzindua zindua tu miradi bila kujali kama Tanzania ina uwezo wa kukamilisha hizo miradi atawaletea hasara kubwa. Sasa mradi wa SGR Dar - Moro ambayo ilikuwa ikamilike November 2019 hadi sasa May 2022 bado haijazinduliwa. Sasa uzinduzi wa JNHPP umesongezwa mbele kutoka June 2022 hadi mwaka wa 2024.


Vipi kuhusu
1)SGR from Mombasa to Malaba
2)Galana Kulalu project
3)Five dams,
4)Nairobi BRT
5)Nairobi Light railways
6)Lap top per child

Hivi unadhani miradi mikubwa Kama hii yenye thamani ya zaidi ya $3B utekelezaji wake ni rahisi Sana?, tena ambao tunatumia pesa ya ndani?

Tafadhali tuwekee mradi wowote Kenya unaozidi $1B uliokamilika kwa wakati ambao unatokana na pesa yenu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Mkunya ana kiburi Sana anaamini ukiongea kingereza umetoboa!
Siku hizi taratibu wameanza kuhamia kwenye Kiswahili baada ya kuona Tanzania tumefanikiwa kutoboa bila kutumia English. Zamani hakuna mkenya ambaye alikua akisikiliza "Swahili music".

Zamani Kenya ukisikika unazungumza au kusikiliza muziki wa Kiswahili, ulidharaulika Sana, siku hizi wanatuzidi hata sisi kwa kusikiliza muziki wa Tanzania, na wanajisifu kwa kusikiliza muziki wa Kiswahili, Kenya ni nchi ya vituko Sana.
Tony254
dyfre


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Nilisema juzi kuwa kuna mkunya mmoja muda si mrefu atasema JNHP haitawahi kuisha. Ona sasa ameanza, achana na watu wanaoamini wako juu ya N.Korea kwa .aendeleo na uchumi mkubwa.
Sasa uzinduzi wa JNHPP umesongezwa kutoka mwaka wa 2022 hadi 2024 halafu unashangaa nini mradi huu unapoitwa white elephant? Hio 2024 itasongezwa tena hadi 2025 subiri tu utaona.
Hata SGR kilomita 200 imewashinda kumaliza miaka mitatu baada ya tarehe ya uzinduzi wa November 2019.
Sitashangaa ikiwa treni yenu ya umeme itakosa umeme wa kuiendesha hii August wakati wa uzinduzi.
 
Back
Top Bottom