Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiv ni rais mwenyewe au washauri wake ndo wabovu? Sielew sielwe bado 😅
Tatizo yeye na hata JPM hawajui maana kamili ya Taasisi ya Urais. Kipindi cha Kikwete na Mkapa ilikuwa nadra sana maamuzi kufanyika halafu kutenguliwa maana Kikwete na Mkapa walikuwa watu wa consultations kabla ya kuja public! Samia anapaswa kujifunza hapo!

Halafu awe mwangalifu na wateule wake Nape, Makamba na Nchemba ni watu wa ambitions sana na wanaweza kumuweka mahala pabaya kama hawaweki kwenye straight line!
 
sasa Dar ni coastal city na Nairobi ni inland city, ulitegemea Nairobi iwe na kisiwa kivipi
Kwani ako nazani TZ wamesoma basi??...hata hawajui Nairobi ako kipande gani ya EA. najua ako najidai na visiwa vya hovyo sana, chukua mfano kakisiwa ka Bongoyo sasa ukienda kule utacheka mpaka ujinyee!!! ...kuna mapungufu yafuatayo;

1.kwanza hakuna Bandari, mnateremka kwa Deep ocean! maji za kiunoni! au Usawa wa shingoni kabisa!

2.Maji kupwa na kujaa ni lazima ukimbizane nayo sivyo laa!! utaogelea kuitafuta boat ilipo!! hakuna raha! km hujui kuogelea hakuna msaada waweza kuupata kirahisi ivo!

3.Boat ikikuacha utalala kwenye miti, mpaka kesho yake! hakuna hotel wala nyumba ya wageni! ni vibanda vya chipis na mihogo tu!

4.kama hujala mapema kwa hotel km sea cliff!! utashindia mihogo michungu kisiwani Bongoyo!, wakora wanakutangazia kabisa bila aibu eti hiyo si chungu!

5.Hakuna ustaarabu wowote kule, ni wezi wa wazi balaa! kutoka pande ya Mbagala!

6.ukienda kule uwe tayare kwa lolote!...maskini wanajipendekeza sana, hasa ukiwa mgeni!! wanataka connections za kutoka kwa lazima.

7.Boat zaenda kule zaweza zimika any time zikiwa katikati ya Bahari!..pia zimetoboka matundu kubwa waweza teleza kidogo tu unatumbukia Baharini! yaani ni usafiri usiyo Rafiki kivilee!

8.Bei aghali kwenda huko!..usilewe na sifa za watanzania vilaza!! ambao hawajui starehe za sisi wenye pesa!

9.Ukitangaziwa huko kuna utalii usiende km weye Mgeni utajuta mambo za huko!

10.Utaishia kuona vibanda vya makuti tu! tena havina chakula kizuri, bali ni upepo wa joto, miti, Miamba na Mawe tu ndo yako huko! hata kuingia huko ni mikiki mikiki, ile miti imeshonana sana, utalala pwani tuuuu!! na kula hiyo mihogo michungu!

Kifupi utacheka mpaka uzimie na km unafanya utalii Bongo na umeanzia hapa, na kuhakikishia Kamwe hutakaa uendelee na utalii Bongo!
 
Kwani ako nazani TZ wamesoma basi??...hata hawajui Nairobi ako kipande gani ya EA. najua ako najidai na visiwa vya hovyo sana, chukua mfano kakisiwa ka Bongoyo sasa ukienda kule utacheka mpaka ujinyee!!! ...kuna mapungufu yafuatayo;

1.kwanza hakuna Bandari, mnateremka kwa Deep ocean! maji za kiunoni! au Usawa wa shingoni kabisa!

2.Maji kupwa na kujaa ni lazima ukimbizane nayo sivyo laa!! utaogelea kuitafuta boat ilipo!! hakuna raha! km hujui kuogelea hakuna msaada waweza kuupata kirahisi ivo!

3.Boat ikikuacha utalala kwenye miti, mpaka kesho yake! hakuna hotel wala nyumba ya wageni! ni vibanda vya chipis na mihogo tu!

4.kama hujala mapema kwa hotel km sea cliff!! utashindia mihogo michungu kisiwani Bongoyo!, wakora wanakutangazia kabisa bila aibu eti hiyo si chungu!

5.Hakuna ustaarabu wowote kule, ni wezi wa wazi balaa! kutoka pande ya Mbagala!

6.ukienda kule uwe tayare kwa lolote!...maskini wanajipendekeza sana, hasa ukiwa mgeni!! wanataka connections za kutoka kwa lazima.

7.Boat zaenda kule zaweza zimika any time zikiwa katikati ya Bahari!..pia zimetoboka matundu kubwa waweza teleza kidogo tu unatumbukia Baharini! yaani ni usafiri usiyo Rafiki kivilee!

8.Bei aghali kwenda huko!..usilewe na sifa za watanzania vilaza!! ambao hawajui starehe za sisi wenye pesa!

9.Ukitangaziwa huko kuna utalii usiende km weye Mgeni utajuta mambo za huko!

10.Utaishia kuona vibanda vya makuti tu! tena havina chakula kizuri, bali ni upepo wa joto, miti, Miamba na Mawe tu ndo yako huko! hata kuingia huko ni mikiki mikiki, ile miti imeshonana sana, utalala pwani tuuuu!! na kula hiyo mihogo michungu!

Kifupi utacheka mpaka uzimie na km unafanya utalii Bongo na umeanzia hapa, na kuhakikishia Kamwe hutakaa uendelee na utalii Bongo!
Duuuuuh huyu wa wapi wakuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwani ako nazani TZ wamesoma basi??...hata hawajui Nairobi ako kipande gani ya EA. najua ako najidai na visiwa vya hovyo sana, chukua mfano kakisiwa ka Bongoyo sasa ukienda kule utacheka mpaka ujinyee!!! ...kuna mapungufu yafuatayo;

1.kwanza hakuna Bandari, mnateremka kwa Deep ocean! maji za kiunoni! au Usawa wa shingoni kabisa!

2.Maji kupwa na kujaa ni lazima ukimbizane nayo sivyo laa!! utaogelea kuitafuta boat ilipo!! hakuna raha! km hujui kuogelea hakuna msaada waweza kuupata kirahisi ivo!

3.Boat ikikuacha utalala kwenye miti, mpaka kesho yake! hakuna hotel wala nyumba ya wageni! ni vibanda vya chipis na mihogo tu!

4.kama hujala mapema kwa hotel km sea cliff!! utashindia mihogo michungu kisiwani Bongoyo!, wakora wanakutangazia kabisa bila aibu eti hiyo si chungu!

5.Hakuna ustaarabu wowote kule, ni wezi wa wazi balaa! kutoka pande ya Mbagala!

6.ukienda kule uwe tayare kwa lolote!...maskini wanajipendekeza sana, hasa ukiwa mgeni!! wanataka connections za kutoka kwa lazima.

7.Boat zaenda kule zaweza zimika any time zikiwa katikati ya Bahari!..pia zimetoboka matundu kubwa waweza teleza kidogo tu unatumbukia Baharini! yaani ni usafiri usiyo Rafiki kivilee!

8.Bei aghali kwenda huko!..usilewe na sifa za watanzania vilaza!! ambao hawajui starehe za sisi wenye pesa!

9.Ukitangaziwa huko kuna utalii usiende km weye Mgeni utajuta mambo za huko!

10.Utaishia kuona vibanda vya makuti tu! tena havina chakula kizuri, bali ni upepo wa joto, miti, Miamba na Mawe tu ndo yako huko! hata kuingia huko ni mikiki mikiki, ile miti imeshonana sana, utalala pwani tuuuu!! na kula hiyo mihogo michungu!

Kifupi utacheka mpaka uzimie na km unafanya utalii Bongo na umeanzia hapa, na kuhakikishia Kamwe hutakaa uendelee na utalii Bongo!
Unapotumia neno "ako" unamaanisha nini?, hicho sio Kiswahili tunashindwa kukuelewa

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ako nazani TZ wamesoma basi??...hata hawajui Nairobi ako kipande gani ya EA. najua ako najidai na visiwa vya hovyo sana, chukua mfano kakisiwa ka Bongoyo sasa ukienda kule utacheka mpaka ujinyee!!! ...kuna mapungufu yafuatayo;

1.kwanza hakuna Bandari, mnateremka kwa Deep ocean! maji za kiunoni! au Usawa wa shingoni kabisa!

2.Maji kupwa na kujaa ni lazima ukimbizane nayo sivyo laa!! utaogelea kuitafuta boat ilipo!! hakuna raha! km hujui kuogelea hakuna msaada waweza kuupata kirahisi ivo!

3.Boat ikikuacha utalala kwenye miti, mpaka kesho yake! hakuna hotel wala nyumba ya wageni! ni vibanda vya chipis na mihogo tu!

4.kama hujala mapema kwa hotel km sea cliff!! utashindia mihogo michungu kisiwani Bongoyo!, wakora wanakutangazia kabisa bila aibu eti hiyo si chungu!

5.Hakuna ustaarabu wowote kule, ni wezi wa wazi balaa! kutoka pande ya Mbagala!

6.ukienda kule uwe tayare kwa lolote!...maskini wanajipendekeza sana, hasa ukiwa mgeni!! wanataka connections za kutoka kwa lazima.

7.Boat zaenda kule zaweza zimika any time zikiwa katikati ya Bahari!..pia zimetoboka matundu kubwa waweza teleza kidogo tu unatumbukia Baharini! yaani ni usafiri usiyo Rafiki kivilee!

8.Bei aghali kwenda huko!..usilewe na sifa za watanzania vilaza!! ambao hawajui starehe za sisi wenye pesa!

9.Ukitangaziwa huko kuna utalii usiende km weye Mgeni utajuta mambo za huko!

10.Utaishia kuona vibanda vya makuti tu! tena havina chakula kizuri, bali ni upepo wa joto, miti, Miamba na Mawe tu ndo yako huko! hata kuingia huko ni mikiki mikiki, ile miti imeshonana sana, utalala pwani tuuuu!! na kula hiyo mihogo michungu!

Kifupi utacheka mpaka uzimie na km unafanya utalii Bongo na umeanzia hapa, na kuhakikishia Kamwe hutakaa uendelee na utalii Bongo!
Tumia lugha unayo iweza tafadhali...wacha kubaka lugha kama hivii
 
Back
Top Bottom