Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Kumbe Wakenya ndio wanaomshikilia Mondi? In the last 12 months Diamond Platinumz alikuwa na 136 million views kwa youtube na kati ya hizi views, 107 million views zilikuwa ni views zinazotokea Kenya na 29 million views ndio zilikuwa views za nchi zingine ikiwemo Tanzania. Kwa hivyo Watanzania hampendi Mondi? Au pengine hamna data bundles na wi-fi? Tatizo nini?
Cc joto la jiwe
Cc joto la jiwe


