The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Hata wewe unaamini kwamba tunamchukia mama? Nilichokiandika kimekupa tafsiri kwamba ni chuki dhidi yake, kuhoji kumbe ni chuki? Basi sawa ndivyo uelewa wako ulivyo.ni dhahiri kuwa fedha hazijatolewa kwani hiyo ngonjera ya ujenzi wa hiyo miradi ni zaidi ya miaka 3 sasa. Kwa kuwa mna hasira naye huyo Rais mnatafuta kila upenyo kumkandia. Endeleeni tu. Hata angekuwepo Magu hiyo miradi isinge anza mpaka leo.
Afadhali mavikao yatapungua na posho manake walikua wamejiachia tuuKwani wao ni mawe wasile?
Kazi inaendelea 👇
View attachment 2218294
View attachment 2218295
View attachment 2218296
Kuna mtu kasema eti tulivyojadili hapa tunamchukia watu wengine wana maajabu sana.
Leo ni tar 9 May
Wamejiachiaje wakati wanasaka Suluhu? Serikali haikurupuki.👇Afadhali mavikao yatapungua na posho manake walikua wamejiachia tuu
Me nilishasema na nitaendelea kusema kuna watendaji wa mama amewaweka karibu yake watakuja kumuangusha. Si watendaji ni wasaka tonge.Tatizo yeye na hata JPM hawajui maana kamili ya Taasisi ya Urais. Kipindi cha Kikwete na Mkapa ilikuwa nadra sana maamuzi kufanyika halafu kutenguliwa maana Kikwete na Mkapa walikuwa watu wa consultations kabla ya kuja public! Samia anapaswa kujifunza hapo!
Halafu awe mwangalifu na wateule wake Nape, Makamba na Nchemba ni watu wa ambitions sana na wanaweza kumuweka mahala pabaya kama hawaweki kwenye straight line!
Nimemjibu baadaye nikafuta nikaona napoteza muda wangu bure.Duuuuuh huyu wa wapi wakuu![]()



Acha kubwabwaja,PM alishasema wakae pembeni toka akiwa Arusha kabla ya Leo kuja..Kinachotakiwa kufanyika kwa mujibu wa Sheria ni kuwasimamisha kazi waliotuhumiwa na kupisha uchunguzi na hatimae kuwapeleka mahakamani. Unawafukuza watu halafu wanashinda kesi Serikali italazimika kulipa fidia kubwa zaidi.
Sukuma gang unateswa Sana na avator yakoHana hayo meno Saivi Taifa Linajiendea endea hovyo hovyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nimemjibu baadaye nikafuta nikaona napoteza muda wangu bure.![]()
Hapa tukae nao vizuri mzigo wote upitie kwetu tutapiga hela vizuri sana.Taarifa kama hizi kutoka Zambia ni habari njema kwa Bandari ya Dar
View attachment 2218312
View attachment 2218313
Angalia hii kilaza nayo!! ako nadhania kiswahili kitu maana sana kwa land ya Bongo?? wewe asijui hii lugha ya kibantu ndo maana hukusoma weye!Tumia lugha unayo iweza tafadhali...wacha kubaka lugha kama hivii
Huyu sijui naye katokea wapi nimemshangaa sana anavyojibu. Utakuta anawajua wanufaika.Acha kubwabwaja,PM alishasema wakae pembeni toka akiwa Arusha kabla ya Leo kuja..
Na leo kasema Takukuru wanaendelea na Kazi so haina haja ya kuhemka kindezi.
Endelea kutupatia burudani kwa jinsi unavyodemka na kiswahili.Angalia hii kilaza nayo!! ako nadhania kiswahili kitu maana sana kwa land ya Bongo?? wewe asijui hii lugha ya kibantu ndo maana hukusoma weye!