Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Sasa unablame Mkandarasi kwa jambo la kawaida kabisa katika labour market. Hao Watanzania waliotafuta ajira upande wa pili walikuwa wanafuata mapato mazuri zaidi. Hio ni kawaida sana na utakuta hao wafanyakazi 35 ni wale ambao wana experience ya juu na ndio maana wamepata ajira kule kwa maana skills zao zinahitajika kule.Tatizo si nani kapewa bali ni usimamizi kupitia sheria za mikataba! Wewe unadhani hata Yapi Merkezi hawawezi kufanya huu upuuzi?
Sasa solution ni Mkandarasi kuandika wafanyakazi wengine 35 kuziba pengo lililoachwa na hawa experts 35. Lakini huwezi kuzuia wafanyikazi wenye skills za juu kuhama kutoka kazi moja hadi nyingine. Hio ni kawaida sana katika kila profession, watu wenye skills za hali ya juu wanatafutwa sana na waajiri wapo tayari kuwalipa pesa nyingi.

