Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbona wakunya mnaomba uraia wengi kuliko wabongoView attachment 2215461
IMG_20220507_175515.jpg
 
Hawa Wakenya wasiendekezwe kupewa uraia wa Tanzania watatuharibia hii nchi, ni wengi sana wanagombania kupewa uraia wa Tanzania, ss serikali isitoe toe uraia hovyo kwa hawa jamaa. Kila mkenya anataka kuwa mtanzania wakiwaendekeza watakuja kuharibu hii nchi, bora kdg waganda.
Me mwenyewe nawashangaa wanaogawa greencard yetu kama njugu kwa Wakunya 😄
 
Yaani Kenya tunadominate dunia kuanzia 100 metres hadi marathon ya 42 kilometres ambako Eliud Kipchoge anatesa watu? Omanyala sasa ameanza kutesa Wamarekani kwenye 100 metres. 💪💪💪
 
Back
Top Bottom