Alivyokuwa mjinga kashameza ndoano huyoLeta international Airport lamu
View attachment 2216327
View attachment 2216328
View attachment 2216329




Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Alivyokuwa mjinga kashameza ndoano huyoLeta international Airport lamu
View attachment 2216327
View attachment 2216328
View attachment 2216329




Hii bandari inajifia polepole hata mwaka haujaisha!
Kenya’s second commercial port in Lamu was meant to boost operations but 11 months after launch, the facility has only been able to handle 11 vessels, with throughput of 1,821 twenty-foot equivalent units (TEUs), according to Kenya Port Authority’s (KPA) data.
So do you master Swahili language? If not then you lack intelligence.Mastering a language is a measure of intelligence. Failing to master a language you've been taught is lack of intelligence.
Kasoro Tz..labda huko imewezekanaChama kimoja kutawala haijawahi kuwa ni tatizo duniani, China, Urusi, Cuba, South Africa, Denmark, Germany(kwa zaidi ya miaka 20), Angola, Namibia, Msumbiji, na nchi nyingi duniani zimetawaliwa na chama kimoja na zimepiga hatua kubwa za maendeleo.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hiyo barabarani ni four lanes with a wide earth median.Hiyo ni zege la brt kama ulidhani mchangandiyo maana amuelewani wanakupostia picha wewe unadhani ni mchanga wa kupanda maua .BRT YA TZ NI ZEGE HIVYO KUWA MAKINI KUTAZAMA
Nmeshakuambia wewe ni kichaa jiepushe na mimiIla kichaa anaye acha IKULU na kwenda machakani kunyamaporini akitengeneza muvi huyo unaongea naye
Bila Lamu port Zanzibar will be dead.Hii bandari inajifia polepole hata mwaka haujaisha!
Zanzibar ina port vile vile
Ukiwa na mbegu ya AKILI utazalisha tunda la maarifa na elimu pia na hiyo ndiyo tofauti ya binadamu na viumbe wengine .lakini ukiwa na elimu na maarifa aviwezi kukuzalia tunda la AKILIKinacholeta maendeleo ni maarifa.Sio kila mwenye akili anaweza kufanya mageuzi ila mwenye akili na maarifa ndio anaweza kuongoza wenzake.Learn leadership skills![]()
Nimekuambia ulete airport imekushinda? Ulivyo taahira umekimbia kwenye transhipment ambayo haina any economical sense 😅Bila Lamu port Zanzibar will be dead.
Tayari yupo kwenye transhipment ya white elephant 😅😅😅
Kanijibu kuwa alidhani ni vumbi au udongo ilo eneo la zegeMshamba huyo anajua brt ni nini kwanza? Hivi vitu mpaka aone kwenye TV ulaya na marekani.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app


Lamu pia Iko na airport. Lakini Zanzibar inategemea Port ya Lamu sana 🤣😂🤣Zanzibar ina port vile vile
Transhipment ni kazi ndogo sana katika kazi za bandari
Zanzibar inahudumia mzigo mkubwa kuliko Lamu by far
Zanzibar ni kisiwa lamu si kisiwa lakini haiwezi kupokea mizigo ya hinterlands
View attachment 2216356
View attachment 2216358
View attachment 2216359
So transhipment haina economical sense to you? I didn't know I'm arguing with a sheep 🤣🤣😂Nimekuambia ulete airport imekushinda? Ulivyo taahira umekimbia kwenye transhipment ambayo haina any economical sense 😅
Ila Lamu kuna kisiwa LAPSSET ipo kisiwani na ndipo kuna Lamu town wapanda punda!Zanzibar ina port vile vile
Transhipment ni kazi ndogo sana katika kazi za bandari
Zanzibar inahudumia mzigo mkubwa kuliko Lamu by far
Zanzibar ni kisiwa lamu si kisiwa lakini haiwezi kupokea mizigo ya hinterlands
View attachment 2216356
View attachment 2216358
View attachment 2216359
Kwahiyo kwa akili yako ya kindezi unataka kusema gari hazipiti hapo katikati au?Hiyo barabarani ni four lanes with a wide earth median.
Sasa hapo ujaelewa nini? nani kasema kuwa utakuwa raiaWacha uongo katiba ya Tanzania inasema huwezi kuwa Rais kama umezaliwa nje ya Tanzania hata kama na mama wa Kitanzania! Lazma uwe umezaliwa na mama wa Kitanzania ndani ya Tanzania!
wewe ujaelewa kuhusu uraia wa moja kwa moja na uraia wa kuombwa hayo yaliyo andikwa kwenye katiba yana fafanua uraia wa moja kwa moja ila kwenye swala la uraia wa kuombwa ni tofauti hata baba na mama yako wakiwa siyo watz unaweza kuomba na kupewa kama wanavyo pewa wachezaji wa mpira hapa tz ,tatizo IQ yako ndogo ndiyo maana unachanganya madesa kuhusu hiyo katibaHakuna gari inapita hapo.Kwahiyo kwa akili yako ya kindezi unataka kusema gari hazipiti hapo katikati au?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Says a mad man from korogocho. Zanzibar was there before lamu and it will continue to be there long after lamu dies a natural deathBila Lamu port Zanzibar will be dead.