NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,393
- 17,974
Mchina hakujifunza English shuleni. Wewe Masomo umesomea kwa Kiingereza alafu huelewi Kiingereza. Sasa nini ulichosoma kama huelewi lugha iliyotumika?Mtu asipofahamu lugha moja inamaanisha anafahamu lugha nyingine.
Tena, English is not a measure of intelligence.
Mchina hajui kingereza lakini anawapapasa anavyotaka.
Kushobokea kote kingereza kumbe ni asilimia 2 tu ndo mnajua.
Inachekesha.


