Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio nikasema mna inferiority complex. Ni kawaida mtu akiona phrase ya kwako ughaibuni atakuwa excited - same way nimeona wengi wenu wakiposti posti picha ya neno Dar es Salaam kule Germany. Sasa ukiona mtu akiwa excited of such a phrase alafu uanze matusi eti ooh pia kwetu ipo hiyo ni inferiority complex.
Dar es salaam na Hamburg ni sister cities kama hujui.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kosa yoteee..... kosa elimu kosa maarifa ila usikose AKILI.
Kama ujaelewa zingatia hii logic na fact [emoji117] KITABU KINA ELIMU NA MAARIFA ILA HAKINA AKILI
Kinacholeta maendeleo ni maarifa.Sio kila mwenye akili anaweza kufanya mageuzi ila mwenye akili na maarifa ndio anaweza kuongoza wenzake.Learn leadership skills😊😊
 
Are you talking about the same Zanzibar which Lamu gave thorough beatings?
Leta international Airport lamu

images - 2022-05-08T100400.635.jpeg


images - 2022-05-08T100331.940.jpeg


images - 2022-05-08T100343.406.jpeg
 
Issue hapa sio phrase but Nala company is a Tanzanian Company Kenyans wanasema ni ya kenya kwenye twitter. Ushamba umewazidi mkiona kiswahili tuu huko nje mnafikiri ni juhudi za Kenya you always think about yourselves first very selfish hii ndio ilipelekea the first EA community kufa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Sijaona mkenya aliyesema Nala ni ya Kenya. Inferiority complex yenu ndio imesema. Ama nionyeshe kama nadanganya.
 
Leo nimekubaliana na wewe 100 kwa 100 ..Good point na good reasoning..

Hamna haja ya ya waliopewa uraia kupata chance ya kugombania au pia hata wao directly kumiliki potential land isipokuwa spouse wao ..

Hii inabidi iwepo kwenye katiba,ingawa sijaisoma hii iliyopo sasa
Sasa hivi wanamiliki kila kitu hata wakitaka urais wanapewa. Wengi wanapewa uraia kwa uchawa na ufisadi wa kufadhili chama na familia za viongozi
 
Sasa hivi wanamiliki kila kitu hata wakitaka urais wanapewa. Wengi wanapewa uraia kwa uchawa na ufisadi wa kufadhili chama na familia za viongozi
Wacha uongo katiba ya Tanzania inasema huwezi kuwa Rais kama umezaliwa nje ya Tanzania hata kama na mama wa Kitanzania! Lazma uwe umezaliwa na mama wa Kitanzania ndani ya Tanzania!
 
Nilivyo kuumbua inaonekana umeumia sana.
Yaani wewe kazi yako humu ni kupotosha na kudanganya tu!
Yaani hampendi kabisa kukutana na vikwazo mnavyo danganya na kupotosha.
Utawadanganya wakunya wenzako ila sio Watanzania.

Eti managing director ni mkunya! [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2216291
That guy is a handy man at palm village

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unajua maana ya maendeleo?
1)Political stability
2)Peace
3)Unity
4)Non racial/tribe or any type of segregation
5) Equal society
6) Togetherness

These parameters form big part of development, nor country can reach sustainable development without these.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Shibe pia ni maendeleo

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom