The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Kwn Lodwar ni sehemu ya kuzikia? Naona makaburi ya kutosha nyuma ya barabara.
Kwn Lodwar ni sehemu ya kuzikia? Naona makaburi ya kutosha nyuma ya barabara.
Hahaha 😂 😁 Asante for the advice. Hata ninaelekea huko sasa hivi. Yaani wewe unaijua maeneo hayo kunishinda. Mimi bado sijawahi kuenda Kasarani stadium. Huwa sipendi mambo ya kujumuika na umati wa watu.Kuwa muangalifu jirani kuna vibaka wanatokeaga hapo lucky summer na korogocho Sura zao ukiziona huitaji maelezo🙂🙂
I think you guys have overused this wird "white elephant" so much that some of you don't have an idea what it means.Express way a white elephant 🐘 project
Kwa hivyo tuseme hii sio barabara ya Dongo Kundu? Hii ni barabara ya kuelekea mbinguni iliyojengwa na nabii Elijah sio?Leta BOQ ya hiyo project inayoonyesha ni 6 lane road, mbona simple
Mimi nimeshakuoneaha ni 4 lane kitaalam
View attachment 2214856
View attachment 2214857
Me naona makaburi tu








Wewe unaleta daraja na mimi nazungumza kuhusu barabara.wewe uliambiwa na nani kuwa mwanza haina barabara ya njia sitaView attachment 2214826View attachment 2214827View attachment 2214828
Muimbaji wa Injili wa Tanzania,Pinela Justine katika pozi..
Ukimgegeda huyu Pepo unaiona hapa hapa Duniani
View attachment 2214988
Nataka pisi yenye upako sio malayaUnataka kusema na umri wote huo hujawahi kugegeda pisi sampuli hiyo!
Akiwa na BSc Laboratory Science I can help him get a job starting salary USD 2000Apparently Kenyans excelling in there career in Tanzania is a remarkable milestone,,
Hata Wewe dogo lazima unaota uje kufanya kazi Tz. Karibu sana, I can help you get job in Tz in one of our Healthcare Institutions’ Facilities, ila uwe na walau a BSc in Lab Sciece (should be medical)
Hii ni kama vile Mexicans wanavyostruggle kuingia US.
Kenya auAkiwa na BSc Laboratory Science I can help him get a job starting salary USD 2000
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mtu wa Bsc analipwa usd 2000 kwa mwezi???? Hapa JF watu wana vituko sana. Kama madaktari wenu wanaoanza kazi hawalipwi hilo pesa ndio itakuwa mtu wa Bsc?? Tunajua mshahara wa madaktari wenu wanaoanza kazi.Akiwa na BSc Laboratory Science I can help him get a job starting salary USD 2000
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
I don't like to boast, but thanks. 🤣Sawa u ar intelligent than all of us Tanzanians..