Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani ni siri kwamba Kenya imeipiga North Korea?

North Korea ina gdp per capita ya $1,300 ambayo ni sawa na gdp per capita ya Tanzania.
View attachment 2213958


Tukija kwenye gdp, North Korea ina gdp ya $28.5 billion ambayo ni ndogo kushinda gdp ya Uganda. Na gdp ya North Korea ×3 bado haifikii gdp ya Kenya.
View attachment 2213961
Nyie si mna uchumi mkubwa mbona majority hata kula tu ni tatizo!!!Acheni janja janja na kujificha kwny kwny hizi indicators kubwa kubwa swala la GDP per Capita kwa Kenya ni kujifariji tu Wanaomiliki uchumi ni wachache tu lakini unagawanywa kwa wote as if hata mtu wa kibera nae anavimba!!!.
 
I'm glad Kenya has and exercises freedom of speech, waambiwe hao kabisaa iwafikie so that shoddy work is avoided ... Tanzania ukisema kitu ka hio the next thing unajipata west wing male ward Nairobi hospital🤣
Kwani kuna uongo umesemwa? Au vitasa vimekolea na kukunyong'onyeza?
 
Are there no problems in tanzania? Where are the Boniface Mwangi's, the Lord Mutai's, the Robert Alai's of Tz! Oh wait, no freedom of speech, they don't exist 🤣
 
Hivi mnajisikiaje mnaposikia vitu vizuri vinatua nchini nyie majirani?

2017 mlifanyiwa majaribio ya chanjo ya HIV sijui mliishia wapi nayo? 2020 mkaja na kituko cha Uviko... This round mko na outlet kwa bypass kwenye expressway....

Na

La mwisho ni kuwa

Hakikisheni mnachimba vyoo, mnawe maji na sabuni na muhakikishe hamkai na nzi kwenye nyumba zenu za mabati bila kusahau mule vyakula vya moto la sivyo mtahara sana.... Poleni kwa ugonjwa wa kipindu pindu Nairobi....

View attachment 2214681

Bongolala habari haijamfikia kwamba hili kombe la dhahabu la dunia hutembezwa kila nchi?

Kenya tarehe May 26 and 27. (2 days)
Tanzania tarehe May 31 (1 day)

Ata Coca Cola wanafahamu nani baba yao East Africa.

uk.jpg
 
Bana zimewafikia


Samia amekuwa muongo tu kama mwendazake Magufuli.

New York gasoline price: $1.17 per litre ($4.45 per gallon)
Tanzania gasoline price: $1.36 per litre.

Lakini tumemsamehe. Tunajua quality ya elimu ya Tanzania haiwezi mruhusu afanye conversions.
 
Samia amekuwa muongo tu kama mwendazake Magufuli.

New York gasoline price: $1.17 per litre ($4.45 per gallon)
Tanzania gasoline price: $1.36 per litre.

Lakini tumemsamehe. Tunajua quality ya elimu ya Tanzania haiwezi mruhusu afanye conversions.
Sawa u ar intelligent than all of us Tanzanians..
 
Tanzanians remind me of the Americans who think their country is the Best at everything even though it's not, but heri Americans, tanzanian thinking they are
Absolutely the best? No problems in their country??🤣
 
Tanzanians remind me of the Americans who think their country is the Best at everything even though it's not, but heri Americans, tanzanian thinking they are
Absolutely the best? No problems in their country??🤣

Hongera bana mmejenga expressway ina drainage system ya kimafii!
 
chongchung ile siku Dar utapata such dense and well built residential area nitag mwenzangu, usiogope, kubali kauli ya baba levo, ngojeni miaka ishirini na tano mbele., na uombe kenya iwe imesimama kwa huo mda wote, mko na mwendo sana😂😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2213692
View attachment 2213687
View attachment 2213683
View attachment 2213684
View attachment 2213685
View attachment 2213686
View attachment 2213689
You Know the funny part Don YF is that, these are satellite images of the areas where majority Nairobians live; lower middle income and below. Githurai, Eastlands,south C etc...not even kitengela where the middle class build, forget the karens and the muthaigas 🤣
Wakikupostia niite 🤣
 
Signs of a fool being condensed to his own foolish levels after boasting a filthy dirty JKIA! Now claiming of media freedom!
You want me to continue playing harmoniously to a goat? Naah bruh I am unable to can 🤣🤣😅
You want me to prove to you that a hill is actually a valley? Bruuh treat yourself 😅
 
Nyie si mna uchumi mkubwa mbona majority hata kula tu ni tatizo!!!Acheni janja janja na kujificha kwny kwny hizi indicators kubwa kubwa swala la GDP per Capita kwa Kenya ni kujifariji tu Wanaomiliki uchumi ni wachache tu lakini unagawanywa kwa wote as if hata mtu wa kibera nae anavimba!!!.
Si kwamba napuuzia hizi Aggregates especially kwny growth I mean sector kwa sector +- mpk kufikia zao kubwa lkn better be uchumi ambao ni inclusive ndo maana ni ngumu sana Kenya kutengeneza millionaires wapya,Niamini kwa Tanzania ni opposite hata mimi naweza kuwa millionaire!Mnazungumzia chumi kubwa kwa kigezo cha GDP ndo maana mashirika makubwa duniani HQ zake base ni NBO , Tony tukutane kwenye FDIs miaka kadhaa ijayo.
 
.Kuanzia mwanzo wa huu uzi mlikua mnapost picha za nchi za watu na kusema kua ni kunyaland . Halafu wenyewe hata mkiona mnasema uongo hakuwezi kosoana na watanzania . Nadhani kuna somo mmepata . Hata mimi nilikua blinded na kudhani Nairobi ni noma . Uzi umefunguaacho wengi plus kwenye mazingira ya kazi nimekutana na wakunya most wana arrogance na much za ajabu japo sio wote plus overconfidence . Kuna mmoja alikua ana shout halafu Hana logic wakati yupo bongo . Nikabaki namwangalia na kucheza. Honesty upole wa kitanzania unasaidia kumdharau mtu na kuepusha Shari .

Kuna site inaitwa jiji ipo kenya nimeangalaia house rent za kunya hadi huruma ndio maana wengi wanaishi slum
Sasa unaidharau Kenya vipi na ndio uchumi mkubwa ukanda huu?
 
Wacha kujipiga kifua dumb,siku zote tajiri afi njaaa, wala hali mafiiii...icho kiushuz cha barabara ndio unatambia hapa, wala haiko tofaut na ile ya arusha
Ya Arusha ni leni nne, hii ya Mombasa ni leni nane. Usijitie hamnazo.
 
Back
Top Bottom