Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Daaaaah akili za kikunya 🤣🤣🤣🤣🤣Sawa basi mmefanana🤣🤣🤣🤣🤣


infact technicaly speaking on the ground. kenya is more synonymous to south africa in so many ways than tanzania, you pple will not understand this...

South African staff at random👇🏽
Screenshot_20220423-220320_Google.jpg
Public-Transportation-South-Africa.jpg
navigate-transport-in-south-africa-3-min.png
unnamed (1).jpg
aerial-view-of-johannesburg-peak-hour-traffic-AJBP3K.jpg
Giloolys.jpg
aerial-view-of-cape-town-and-it-s-majestic--flat-topped-table-mountain-1169318257-07b81b2f33d7...jpg
001.jpg
708111284_4bc70c569d_b.jpg
Screenshot_20220506-004303_Chrome.jpg









SOME SYNONYMS AT A GLANCE







Kenyan staff at random👇🏽
Screenshot_20220506-002038_Gallery.jpg
thika-pic-1.jpg
1648939806717.jpg
download (20).jpeg
download (23).jpeg
Screenshot_20220506-003230_Gallery.jpg
Matatus.jpg
Screenshot_20220112-184040_Earth.jpg
thika-highway.jpg
Matatus_Thugnificent.jpg
images (62).jpeg
Screenshot_20220430-231345_Chrome.jpg
Screenshot_20220506-005747_Chrome.jpg
 
Ukiona matajiri 10 wamejenga descent house Kenya, juwa kwamba kuna maskini 10,000 wamejenga nyumba za mabati pembeni View attachment 2213135View attachment 2213136View attachment 2213138View attachment 2213139View attachment 2213140
Yaani hawa watu wana mtindio wa akili. Na utakuta walishaandaa proposal ya kubadilisha makazi duni wakapeleka kwa wahisani, utakuta pesa zilitoka wakazipiga zote mradi ukafa but no one cares.

Shirika la Habitant si liko hapo Nairobi ndio makao makuu yao? Limewasaidia nini, utawasikia, ohhh, Nairobi is ahead of dar when it comes to international organisation centres.Sasa zinawafaidisha nini??
 
"Watu wanalipwa mishahara midogo sn Tz" wakati anaongea hvyo yuko hapa na infinix yake ya 2gb RamView attachment 2213131
Unaweza ukalipwa mshahara mkubwa lakini matumizi yakiwa mengi na juu unajikuta unasave kidogo kuliko yule anayelipwa kidogo huku matumizi yake hasa zile basic needs zikiwa gharama zake zipo chini sana.

Hawa huwa hawajui kwamba Tanzania maisha ni marahisi sana kuliko kwao.
 
Hiyo mishahara inaweza kuwa ni midogo lkn ikatosha na kubaki, the only reason ni kwamba Tz maisha ni mepesi mno pengine kuliko nchi yoyote duniani, thus y walimu toka Kunyaland wote ndoto zao ni kuja kufundisha Tz, je ushawahi kujiuliza ni kwnn walimu kutoka Kunyaland wana dream ya kuja kufundisha Tz ikibidi hata kuzamia licha ya mishahara kuwa midogo?
Ni kweli usemacho kipindi cha awamu ya nne walikuja walimu wengi sana kutoka Kenya kufundisha kiingereza kumbe siyo kiingereza tu wakawa wanafundisha hata kiswahili.

Sasa wazazi wakashtuka watoto wanaongea viswahili na siyo kiswahili mara vitushi, wanaulizwa ndio nini hiki wakasema mwalimu wetu katufundisha , kufuatilia ni hawa jamaa wa kaskazini hata uwezo hawana kwa masomo yote, siyo kiingereza, hesabu wala kiswahili, vibali hawana duh.

Kaingia mwamba madarakani wakaanza kusepa wenyewe na ndipo hasira na chuki ilipoanzia hapo dhidi ya Magufuli . Kenyans we know you much better than you are imagined.
 
Sifuatilii mambo ya Tanzania kama unavyofuatilia ya Kenya ila najua binadamu ni wale wale na hivi visa utavipata kila mahali. Shida ya Wabongo ni denial. Siku Kibaki akifa nilitafuta video pale YouTube nikaangukia moja ya TBC news, yani media yenu ilivyo ni kama Kenya ilivyokua wakati wa Nyayo. Yani 70% news ni kusifia Rais na serikali na kurudiarudia ufunguzi na ujenzi wa miradi. Yani hamna journalists wanaojituma kuangalia matatizo yanayowakumba wananchi wa kawaida. Yani kama North Korea vile.
Unafuatilia taarifa ya habari ya tbc unategemea upate habari kinzani kweli?Angalau ungesema ITV au AZAM wako vizuri kwenye habari hawana upande wowote.
 
Mbona huku hawaongei wanapita tu kwa kipole 😂😂

Facilities inside JKIA are bigger than JNIA itself

KURA
View attachment 2212618
View attachment 2212619View attachment 2212620View attachment 2212621View attachment 2212622

KCAAView attachment 2212623View attachment 2212624

Kenya airways is even trying to develop some facilities for you!

View attachment 2212634

YAANI JNIA HAS BEEN USING JKIA RADAR SYSTEMS ALL ALONG UNTIL RECENTLY IN 2020 WHEN IT FINALLY MODERNIZED ITS OWN AND HERE YOU ARE COMPARING JNIA TO JKIA, RESPECT YOUR ELDERS.View attachment 2212641

Mna ujinga wa kiwango cha juu sana anyways endeleeni kujifariji mnajua Tanzania kwny anga la juu tunaongoza ndege za nchi ngapi?!.
 
Yaani wewe mjinga akiwa na pesa ndio basi, I know u are an idiot but not this idiot .., Diamond is older than me just slightly, kama unataka kujua, am not older than him, na hawezi fikia level yangu kamwe, his wealth is quantified na iko kwa public domain, if u wish to know, na siringi.., I love my country Kenya..,
Ila hapa ulitupiga

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Sifuatilii mambo ya Tanzania kama unavyofuatilia ya Kenya ila najua binadamu ni wale wale na hivi visa utavipata kila mahali. Shida ya Wabongo ni denial. Siku Kibaki akifa nilitafuta video pale YouTube nikaangukia moja ya TBC news, yani media yenu ilivyo ni kama Kenya ilivyokua wakati wa Nyayo. Yani 70% news ni kusifia Rais na serikali na kurudiarudia ufunguzi na ujenzi wa miradi. Yani hamna journalists wanaojituma kuangalia matatizo yanayowakumba wananchi wa kawaida. Yani kama North Korea vile.
Hufuatilii mambo ya Tz alafu unamjua mpk baba levo, hufuatilii mambo ya Tz alafu upo kwenye forum ya Watz inayoongelea mambo ya Tz 99% tukisema wakunya hamna akili mnasema tunawatusi
 
Hufuatilii mambo ya Tz alafu unamjua mpk baba levo, hufuatilii mambo ya Tz alafu upo kwenye forum ya Watz inayoongelea mambo ya Tz 99% tukisema wakunya hamna akili mnasema tunawatusi
msiogope.. fungueni roho zenu tafadhali na mseme tu ukweli. sema kupenda kenya ile mbaya, ndo kila wakati, upto 95% ya watz watafuatilia kwa kina kinacho endelea huku🔥. si u knw kenya is another smaller SA. nivenye tu mko na haya.. otherwise......... msiogope. hakuna mwenye anawaona..
 
msiogope.. fungueni roho zenu tafadhali na mseme tu ukweli. sema kupenda kenya ile mbaya, ndo kila wakati, upto 95% ya watz watafuatilia kwa kina kinacho endelea huku🔥. si u knw kenya is another smaller SA. nivenye tu mko na haya.. otherwise......... msiogope. hakuna mwenye anawaona..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh!
 
Hata ukiwaonyesha certificate yako, blank out your name. Cover your name. Hawa watu wanadhani Wakenya hawajasoma. Hawajui kwamba the biggest problem in Kenya right now is graduates lacking employment. Basically we have more educated people than even the local job market can handle. Ndio maana unaona Wakenya wengi waliosoma wanaenda majuu kutafuta greener pastures.
Tony254, nchi zote za Africa na nchi za Dunia ya tatu zinasumbuliwa na matatizo yafuatayo
1)High unemployment rate
2)Upungufu wa wataalamu wa sekta mbalimbali( Lack of skilled labour)
3)Brain drain

Hivi unaweza kuelezea vipi hayo matatizo yanaweza kutokea kwa wakati mmoja?,

I)Inawezekanaje katika nchi/bara ambalo Kuna tatizo kubwa la Ukosefu wa ajira(high unemployment rate), lakini ndio nchi/bara hilohilo ndio kwenye upungufu mkubwa wa (skilled labour), na ndio bara linaongoza kwa tatizo la (Brain drain).

Sio kweli kwamba Kenya/Afrika Kuna wasomi wengi zaidi hivyo ajira ni chache, ukweli ni kinyume chake, kwamba Kenya/Africa Kuna tatizo la kutengeneza ajira za kuweza kuajiri hao wasomi wachache.

Japan Kuna vyuo vikuu vingi kuliko vyuo vikuu vilivyopo Africa nzima, 80% ya wajapan wamefika Universities, hapo Kenya wasomi waliofika Universities hawafiki 3% ya wakenya wote, lakini Kati yao hao 3% wanaopata ajira hawazidi 20%, wakati Japan yenye universities nyingi kuliko idadi ya universities zote za Afrika nzima, na 80% ya Wajapan wamefika Universities Kati yao 90% wanapata ajira.

Sijawahi kusikia Wajapan wakilalamika kwamba Wana wasomi wengi kuliko ajira, lakini Kenya ambayo Universities hazizidi 100, wasomi hawazidi 3% ya wakenya wote, eti mnasema wasomi ni tatizo kwahiyo ni Bora watafute kazi nje ya nchi. Hivi mtu Kama wewe ukiwa kiongozi utaweza kweli kulisaidia bara la Afrika?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Didn't you say that "she knows better"? Now you don't trust the same person you said knows better! Interesting
Fuatilia mazungumzo vizuri kabla ya kurukia kuandika. Mkenya mwenzako alikua akipingana na watanzania waliopigana na kauli ya mama Samia kwamba miradi yote mikubwa Tanzania imejenga kwa mikopo.

Yeye mkenya amesema, rais wa nchi ndiye anajua kila kitu kuliko watu wote huku Tanzania, Mimi nikaleta hiyo kauli ya mama Samia aliposema Tanzania imeshushwa na baada ya mwezi mmoja akabadili kauli yake

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom