Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2212663
JNIA reaching JKIA radar systems in 2020 then they come here yapping about how modern JNIA is..JKIA has always been and will forever be ahead of JNIA in every aspect
Modernization kila kukicha,they are updating systems at JKIA.
najua kwenu mnafikiria modernization ni majengo tu
Modern control traffic system installed in 2021
View attachment 2212664
Unaongelea bygones very pathetic unapotafuta sehemu ya kujishikilia our radars now extend well over Kenyan airspace. We have new state of the art Topsy radar system installed at Kilimanjaro, Mwanza, Dar Es Salaam and Songwe Mbeya unlike your radars ours are top notch modern radar systems.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
sikilizen hii.. walikula sawa na urefu wa kamba zao

Yaani hapa walipiga kweli kweli kwa urefu wa kamba hao, na hawatafanywa chochote, hili ni eneo moja bado yapo mengine kama haya.

Ukianza kuongea vitu kama hivi unaambiwa leta ushahidi, sasa hiki ni nini si ni ushahidi tosha huu?

Watendaji wanabembelezwa kwa lugha laini sana maana huu ni utawala wa kidemokrasia aliyekuwepo ni dikteta. Sawa ngoja tuone mwisho wake utakuwaje.
 
Sifuatilii mambo ya Tanzania kama unavyofuatilia ya Kenya ila najua binadamu ni wale wale na hivi visa utavipata kila mahali. Shida ya Wabongo ni denial. Siku Kibaki akifa nilitafuta video pale YouTube nikaangukia moja ya TBC news, yani media yenu ilivyo ni kama Kenya ilivyokua wakati wa Nyayo. Yani 70% news ni kusifia Rais na serikali na kurudiarudia ufunguzi na ujenzi wa miradi. Yani hamna journalists wanaojituma kuangalia matatizo yanayowakumba wananchi wa kawaida. Yani kama North Korea vile.
but niliona mahali Samia anataka kubadilisha hizo sheria 'kandamizi' za wanahabari
 
View attachment 2212663
JNIA reaching JKIA radar systems in 2020 then they come here yapping about how modern JNIA is..JKIA has always been and will forever be ahead of JNIA in every aspect
Modernization kila kukicha,they are updating systems at JKIA.
najua kwenu mnafikiria modernization ni majengo tu
Modern control traffic system installed in 2021
View attachment 2212664
Tuta tuta tuta

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nyenyenyenye kunyaland ina miti mingi kuliko Tanzania 😆

Ni baada ya Mzungu kuwaambia wao ni 'Green shit under the sun' 😆

Screenshot_20220413-160336_1.jpg


Screenshot_20220413-160418_1.jpg


Screenshot_20220413-160521_1.jpg


Screenshot_20220413-160643_1.jpg


Screenshot_20220413-161012_1.jpg


Screenshot_20220413-161318_1.jpg


Screenshot_20220413-161600_1.jpg
 
Kwahiyo unataka kusema kwamba Ukosefu wa (Maintainance and Repair) ya miaka yote huko nyuma ghafla tu madhara yake yalikua yanangojea uingozi mpya ndio uanze kujitokeza?.

Mkuu Kama kweli upo "fair"katika kuangalia hili tatizo, tuanzia kipindi cha Kikwete, hali ya umeme ilikua mbaya Sana, mgao, kukatika kwa umeme hovyo hadi waziri mkuu Edward Lowasa likamsababishia kujiuzulu.

Alipoingia Magufuli alifanya mageuzi makubwa Sana katika sector ya umeme, kumbuka alikua ni vijiji 2000 tu vimeunganishwa umeme Kati ya vijiji 12000 Tanzania nzima, hadi anakufa alibakisha vijiji 2500 tu kuunganishwa umeme.

Sihitaji kutaja Mambo Kama kuondolewa kwa "service charges", kuondolewa kwa gharama za kununua nguzo au transformar kwa wanaotaka kuunganishiwa umeme, vijijini kuunganishiwa kwa Tsh 27000,
Mgao kutokuwepo tena na mengi Sana siwezi kuyamaliza kuyataja.

Huwezi kueleweka Kama mafanikio yote haya yanapoanza kutoweka na kurudi enzi za Kikwete, sio rahisi watanzania kuelewa. Kwahiyo athari za kutofanya Maintainance zilikuwepo enzi za Kikwete, alipoingia Magufuli yeye hakufanya Maintainance yoyote kwa miaka mitano, tulitegemea umeme ungeendelea kukatika Kama ilivyokua katika utawala wa Kikwete, lakini hatukuona kukatika kwa umeme katika kipindi chake, ghafla tu baada ya kuondoka, athari za uchakavu zinaanza tena kujitokeza, hivi kweli watu wazima tunadanganyana kirahisi kiasi hiki?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kitu nilichokigundua humu ndani kuna baadhi ya watz wanashirikiana na wakunya kumdiss Magufuli kuonyesha kwamba hakufanya kitu chochote kizuri aliharibu uchumi wa nchi.

Na wanataka kutuaminisha kuwa ni kiongozi asiyefaa kukumbukwa kwa lolote zuri bali mabaya tu. Ila wanajua ana watu wanaomkubali sana kivuli chake kinawatesa vibaya mno.

Hivi ukimtoa Nyerere ni Rais gani wa Tanzania ambaye alipokuwa akihutubiwa anapata watazamaji wengi zaidi zaidi ya Magufuli?

Wanasema alitudanganya ndio maana alipendwa na watu wengi, well, kwamba atajenga bwawa la Mwalimu Nyerere na akajenga,umeme vijijini kutoka vijiji 2000 mpaka 10000 wakati Tanzania nzima tuna vijiji 12000 tu.

Sitaji madaraja, barabara, hospitali na vituo vya afya. Mambo ni mengi sana. Kama wanataka tumsahau mzee baba wafanye kazi mpaka wamfunike kwa records zake lakini tofauti na hapo hakuna kitu mtafanya na tuwaamini na kuwakubali.

Hakuna cha Sukuma Gang mnahamisha mjadala maana lawama ziko nchi nzima, kwani hao sukuma gang wanaishi nchi yote ya Tanzania?

Basi tafsiri ya sukuma gang ni Watanzania wengi wanaolalamika nchi nzima, kama mnataka kueleweka kwa wana wa nchi hii kaeni chini mbadilishe mambo bidhaa za vitu ziko juu sana wananchi wanaumia sana.Kuweni na huruma.

Kitu kingine watu wanaumia kimoyo moyo wanalalamika vyumbani mwao kimya kimya, wana majonzi mioyoni mwao, hii kwa Mungu haiko sawa na mnajiita wacha Mungu. MUNGU HADHIHAKIWI, Mnapanga naye anapanga yake.
 
Kama mwalimu graduate anlipwa 24k si basi soja pale JNIA analipwa elfu nane. waaaaaa na vile gharama ya maisha imepanda. Pole kwake walai.
Hiyo mishahara inaweza kuwa ni midogo lkn ikatosha na kubaki, the only reason ni kwamba Tz maisha ni mepesi mno pengine kuliko nchi yoyote duniani, thus y walimu toka Kunyaland wote ndoto zao ni kuja kufundisha Tz, je ushawahi kujiuliza ni kwnn walimu kutoka Kunyaland wana dream ya kuja kufundisha Tz ikibidi hata kuzamia licha ya mishahara kuwa midogo?
 
lazma kieleweke... kenya kuna angalau afueni kama NDINDA angekua anafanya nairobi

Screenshot_20220505-135946_Gallery.jpg



Screenshot_20220505-204534_Gallery.jpg
darslam
Screenshot_20220505-205126_Chrome.jpg
ie. Tsh494,000÷20= Ksh24,700.!!



nairobi
Screenshot_20220505-222926_Google.jpg
nairobi Ksh 55,000/- @least
 
Back
Top Bottom