Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuambie wewe basi sababu za kukatika kwa umeme..

Ulivyo fala unashindwa kujua kwamba Tanesco wenyewe wamesema kwa miaka 5 ya Mwendazake hawakufanya repair ya mitambo ila umeme ulikuwa haukatiki katiki kwa sababu peak demand ilishuka hasa kuanzia 2018 kwa sababu investments zikishuka kwa hivyo pressure kwenye grid ilikuwa ndogo..

View attachment 2211348

View attachment 2211349

View attachment 2211350

View attachment 2211351
Hahahah wacha kuwa kipofuuu ww...
 
Inasikitisha sana kuwa na Rais asiyekuwa na upeo.

Kinachomuuma huyo mama ni wananchi kuendelea kumkumbuka JPM kwa hiyo ataongea chochote cha kipuuzi.
Yeye badala afanye mambo mazuri yupo busy kuongea mipasho kwa wanaomkumbuka JPM.

Yaani akitaka watu waache kukumbuka awamu iliyopita basi afanye vitu vizuri vya msingi vitakavyo mgusa mwananchi.

Mwezi uliopita alisema Tanzania haipo tena uchumi wa kati halafu jana tena akasema Tanzania ipo uchumi wa kati...Yaani hata hajui kipimo kinachotumika kupima nchi kuwa uchumi wa kati.

Analazimisha kupendwa kwa kuongea shit zisizo make sense kuhusu awamu iliyopita.
Leo kaongelea kuhusu mikopo, ilitakiwa aseme mradi fulani tumechukua mkopo kiasi fulani.
Asituone wajinga, mikopo ya miradi mikubwa haitolewi kienyeji.
Afanye mambo mazuri ya kuifunika awamu iliyopita sio kuongea ujinga ujinga.

Halafu anajifanisha na US, kabla ya kujifananisha na US kwanza angeanza kufananisha mishahara.

Hayo ndo madhara ya kupata kazi kwa kutumia connection huku ukifahamu hauna ujuzi wowote.
 
Kwa tz ilitakiwa tuwe 2.4mil kama mambo ya msingi yangepewa kipaumbele nchini ,pamoja na kupendezesha mji na kuweka njia safi za wapita kwa miguu na kupanda maua vizuri kila sehemu ,sasa hivi kuna ufisadi mkubwa kwenye kupanda maua na miti chini ya mkuu wa mkoa na wakuu wa wilaya, cheki huu uchafu ukutani mwa flyover ya mabilioni na namba za simu wameweka kabisa .....mkuu wa mkoa na wilaya wapo ofisini wanajaza vyooo tu
Screenshot_20220325-111301_Video%20Player.jpg
Screenshot_20220325-111202_Video%20Player.jpg
 
Oneni uswazi kwa background. Airport kadogo sana. 🤣 🤣 🤣 Unaweza ruka hio fence ukimbie hadi kwa runway.

Image



Huwezi compare haka ka airport kadogo penye watu wanaingia kwa miguu na JKIA which has three 5 star Hotels, five huge freight terminals, six passenger terminal sections, multiple number of international cargo handlers, business park, low cost carrier terminal, law courts, police station, parastatal offices, multi-strorey parking, petroleum depot, public transport facilites, warehouses, etc. JNIA ni stage ya ndege tu while JKIA is an airport city.🤣🤣🤣
 
Tuambie wewe basi sababu za kukatika kwa umeme..

Ulivyo fala unashindwa kujua kwamba Tanesco wenyewe wamesema kwa miaka 5 ya Mwendazake hawakufanya repair ya mitambo ila umeme ulikuwa haukatiki katiki kwa sababu peak demand ilishuka hasa kuanzia 2018 kwa sababu investments zikishuka kwa hivyo pressure kwenye grid ilikuwa ndogo..

View attachment 2211348

View attachment 2211349

View attachment 2211350

View attachment 2211351
Mkuu bila ushahidi wa data utakua vigumu Sana kueleweka, tunataka kujua katika hicho kipindi cha mwendazake, ni kiasi gani kilikua kikitumika katika hizo "peak hours" ukilinganisha na hivi Sasa.

Wananchi wanataka kujua ni viwanda gani vipya, au ni uzalishaji gani ulioongeza katika hiki kipindi hadi tatizo la umeme kuwa kubwa ghafla.

Kinachotatiza watu ni kwamba, tatizo la umeme kukatika kwa sababu ya kuongezeka kwa uzalishaji, haliendani na ongezeko la uzalishi, tatizo linaonekana,lakini huo uzalishaji uliongezeka kutokana na kufunguka kwa uchumi hauonikani.

Tungeambiwa ni kiasi gani ongezeko la bidhaa viwandani Kama viwanda vya Cement, bati, nguo, chuma,na bidhaa zingine umeongezeka kwa kiasi gani ndio tungeelewa, vinginevyo itabaki ni maneno ya wanasiasa tu kupiga domo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kingine hapa zaidi ya hili box? 😂

View attachment 2211412
Bongolala, JKIA has two terminals. Terminal 1 is arranged in a semi-circular orientation and is divided into four parts: 1A, 1B, 1C, and 1E are used for international arrivals and departures while terminal 1D is used for domestic departures and arrivals. Terminal 2 is used by low-cost carriers. The part you've circled is Terminal 1A. Bado kuna 1B, 1C, 1D na 1E.
images.png
images (84).jpeg


Lastly, JKIA has an additional International Arrivals section next to Terminal 1A
images (87).jpeg


Number mtazidi kusoma however much it pains
 
That's Kibera slum in Nairobi. And imagine it's not even captured in this screenshot below nor is any slum captured in this big area of Nairobi
Screenshot_20220504-002115~2.jpg


But in this Dar image, uswazi hovels are everywhere.
Screenshot_20220504-002022~2.jpg

That's the difference between Dar and Nairobi
 
Mkuu bila ushahidi wa data utakua vigumu Sana kueleweka, tunataka kujua katika hicho kipindi cha mwendazake, ni kiasi gani kilikua kikitumika katika hizo "peak hours" ukilinganisha na hivi Sasa.

Wananchi wanataka kujua ni viwanda gani vipya, au ni uzalishaji gani ulioongeza katika hiki kipindi hadi tatizo la umeme kuwa kubwa ghafla.

Kinachotatiza watu ni kwamba, tatizo la umeme kukatika kwa sababu ya kuongezeka kwa uzalishaji, haliendani na ongezeko la uzalishi, tatizo linaonekana,lakini huo uzalishaji uliongezeka kutokana na kufunguka kwa uchumi hauonikani.

Tuneambiwa ni kiasi gani ongezeko la bidhaa viwandani Kama viwanda vya Cement, bati, nguo, chuma,na bidhaa zingine umeongezeka kwa kiasi gani ndio tungeelewa, vinginevyo itabaki ni maneno ya wanasiasa tu kupiga domo

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Yupo humu anaejiita Simon amesema yuko Tanesco mwambie akupe data za peak demand sio peak hours..

Hata hivyo siku Tanesco na Makamba wanahojiwa walifanya demonstrations ya Takwimu hizo ndio maana Nika attach maelezo yao hapo juu..
 
Oneni uswazi kwa background. Airport kadogo sana. 🤣 🤣 🤣 Unaweza ruka hio fence ukimbie hadi kwa runway.

Image



Huwezi compare haka ka airport kadogo penye watu wanaingia kwa miguu na JKIA which has three 5 star Hotels, five huge freight terminals, six passenger terminal sections, multiple number of international cargo handlers, business park, low cost carrier terminal, law courts, police station, parastatal offices, multi-strorey parking, petroleum depot, public transport facilites, warehouses, etc. JNIA ni stage ya ndege tu while JKIA is an airport city.🤣🤣🤣
Ile cowshed yao iko hata na storey carpark kweli?
 
Back
Top Bottom