Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Anachokera zaidi ukweli anaujua lkn kwa sababu ni Tz tu ndio hakataki kukubali, kalivyo kasenge na kichwa chake kikubwa huwa kanawasifia kina tuusan kwakuwa huwa wanakubaliana naye ila kenyewe hakajawahi kukubali kitu toka Tz hata kama liko wazi kabisa mfano hilo la airport. Kamekazana kutoa mishipa.

Ndio maana wanakaa kwenye shamba la familia halafu wanasema nchi.
 
Tanesco kuilipa symbion .......
Geza anachekekea
Nani aliwatuma kuvunja mkataba hali kwa mabavu?

Bado StanChart wanadai na hata makinikia wakiamua kwenda kotini watadai usipolipa Yale mapipa mtaishia kuyazungusha mikoani kwa hasara..

Matumizi ya akili ni bora kuliko msuli kuongoza Nchi.
 
Na naskia mafuta yameshuka kwe soko la dunia
Kumbe unasikia? Nikajua una facts..

By the way wauza mafuta walishasema kitambo kwamba wanauza kwa hasara Kwa kukompromise na Serikali ila kama Bei hazibadikiki watashindwa kuagiza mafuta mengine hivyo kutakuwa na shortage..

So better higher prices with availability kuliko kulazimisha bei ya chini mafuta yapotee sokoni hapo hata Bei zitapanda twice ya zikizopo..
 
Kwani planes are made to park indefinitely at the airport? If you see fewer planes just know the rest are on air working it all depends on what particular point in time the photo was taken. We have had photos shared here when the airport was full house all air bridges occupied but we dont brag on silly things such as this.
Wacha kujisumbua kuandika insha refu which doesn't make any sense. Uwanja wenu ingekuwa na hiyo capacity kubwa unalazimisha iwe nayo, ingekuwa miongoni mwa viwanja busy hapa Africa. It's not anywhere close to that while JKIA makes the list. Can't you just give up?
 
Kwanza aliyeleta hii Chati kaleta ya zamani kabla bei za mafuta kupanda,kwanza mafuta yanafika bandari ya Dar kwa zaidi ya bei ya 1162,pili kuna Kodi zingine hapo serikali ilizipunguza na kufuta baadhi lakini bei zimeendelea kupanda..

Kuanzia wiki ijayo serikali itakuja na proposal za kupunguza bei wana table bajeti ya Nishati ila unfortunately implementation yake itaanza July 1 Kwa sababu nyingi ya hizo Kodi hapo zilipitishwa kama sheria ya Bunge unless wakae mkutano wa dharura kujadili hilo la mafuta tuu.
 
mitambo imechoka yote kwa wakati mmoja

Tuambie wewe basi sababu za kukatika kwa umeme..

Ulivyo fala unashindwa kujua kwamba Tanesco wenyewe wamesema kwa miaka 5 ya Mwendazake hawakufanya repair ya mitambo ila umeme ulikuwa haukatiki katiki kwa sababu peak demand ilishuka hasa kuanzia 2018 kwa sababu investments zikishuka kwa hivyo pressure kwenye grid ilikuwa ndogo..👇

Screenshot_20220504-153755.png


Screenshot_20220504-153949.png


Screenshot_20220504-153848.png


Screenshot_20220504-153926.png
 
Huyo karudi na picha zake
Kama kawaida, 😂

Halafu uzuri nyumba zenyewe kaweka na idadi kabisa kila estate na hizo estates zote ndio kubwa kwao

Kama kila estate ina nyumba 4000 na hapo kaziweka 6 basi ni nyumba 16000, chukulia kwa makadirio ya juu kabisa kila nyumba watu 10 basi estates zote hizo kubwa ni watu 160,000 tu ndio wataishi umo

Swali jiulize wakazi million 6 wengine wanaishi wapi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Jibu kila mtu analo
 
Kwanza aliyeleta hii Chati kaleta ya zamani kabla bei za mafuta kupanda,kwanza mafuta yanafika bandari ya Dar kwa zaidi ya bei ya 1162,pili kuna Kodi zingine hapo serikali ilizipunguza na kufuta baadhi lakini bei zimeendelea kupanda..

Kuanzia wiki ijayo serikali itakuja na proposal za kupunguza bei wana table bajeti ya Nishati ila unfortunately implementation yake itaanza July 1 Kwa sababu nyingi ya hizo Kodi hapo zilipitishwa kama sheria ya Bunge unless wakae mkutano wa dharura kujadili hilo la mafuta tuu.
Icho kikako cha dharura walifaa wakae tangu February uko ili kuzuia hii hali sio kuongea mtandaoni eti mara sijui mafuta yapo yakutosha mara sijui nn
 
Icho kikako cha dharura walifaa wakae tangu February uko ili kuzuia hii hali sio kuongea mtandaoni eti mara sijui mafuta yapo yakutosha mara sijui nn
Kwani wangekaa February ndio bei sisingepanda? Beinzitaendelea kupaa kadiri mzozo wa Russia-Ukraine unavyoendelea..

La sivyo Nchi I bet Kati ya Russia na US,ukijifanya kwenda Russia wazungu wanakulima kumbuka wali I site Tanzania directly kama mshirika asiye aminika baada ya kura ya UN..

Sasa jifanye kucheza karata hovyo kwa mihemko ya kitaa uone moto.
 
Tuambie wewe basi sababu za kukatika kwa umeme..

Ulivyo fala unashindwa kujua kwamba Tanesco wenyewe wamesema kwa miaka 5 ya Mwendazake hawakufanya repair ya mitambo ila umeme ulikuwa haukatiki katiki kwa sababu peak demand ilishuka hasa kuanzia 2018 kwa sababu investments zikishuka kwa hivyo pressure kwenye grid ilikuwa ndogo..

View attachment 2211348

View attachment 2211349

View attachment 2211350

View attachment 2211351

pole sana.. sikutaka nikujibu.. lkn kiufup nipo tanesco kwenye hio mitambo... have a good day!
 
Back
Top Bottom