Life expectancy ya Kevya ni miaka mingapi?Uhakika wa kula hauzingatiwi directly na HDI. HDI inazingatia mambo matatu 1. Life expectancy. 2. Education. 3. Gni per capita. Kwa hivyo uhakika wa kula upo chini ya gni per capita. Nchi yenye gni per capita kubwa kwa kawaida huwa na uhakika wa kula. Ila nakuelewa kwa maana TZ mna uhakika wa kula kutushinda sisi japo bado tuna life expectancy ya juu kuwashinda, education index ya juu kuwashinda na gni per capita ya juu kuwashinda. Nyie mumetushinda kwenye uhakika wa kula pekee japo hilo halizingatiwi directly na hdi.
Refer to EACOP.Kivipi? Fafanua.
Unasumbuka sana bongolala, heri unyamaze tu. Elevated section inaanzia Southern bypass all the way to James Gichuru road. James Gichuru ipo mbali sana na GTC mahali michoro zako zimeanzia. This is elevated section ikipita GTC towards James Gichuru. Tuliza kende kijana wa gongo la mbotoUnaweza kuona elevated section ya express way ya mchina ilipoanzia na kuishiaView attachment 2210079
JKIA ni airport mbovu sana imagine ukiwa ndani kichwa inaweza gusa roof halafu kuna viduka kama vibanda vya wamachinga haviko visible at all viko katikati ya nguzo za jengo plan ya kishamba sana.Siku utafika JKIA ndio utajua TZ Hakuna airport. Kwanza sahii na hio express way link utathani uko New York.
Nairobi iko ligi ingine.
Siku utafika JKIA ndio utajua TZ Hakuna airport. Kwanza sahii na hio express way link utathani uko New York.
Nairobi iko ligi ingine.



Unazungumzia hii au kuna mpya mmejengaSiku utafika JKIA ndio utajua TZ Hakuna airport. Kwanza sahii na hio express way link utathani uko New York.
Nairobi iko ligi ingine.


Pumba ,JNIA T3 has a capacity of handling pax of 6M per Yr...the facility is ultramodern & there is nothing so special about ur JKIA my friendSiku utafika JKIA ndio utajua TZ Hakuna airport. Kwanza sahii na hio express way link utathani uko New York.
Nairobi iko ligi ingine.
8km ndiyo mbali snUnasumbuka sana bongolala, heri unyamaze tu. Elevated section inaanzia Southern bypass all the way to James Gichuru road. James Gichuru ipo mbali sana na GTC mahali michoro zako zimeanzia. This is elevated section ikipita GTC towards James Gichuru. Tuliza kende kijana wa gongo la mboto View attachment 2210146View attachment 2210149








Fala nani sasa anayeshindwa kutofaitisha majina kwa kiswahili ama? Huoni nimekusaidia hapo unapaswa unishukuru kukusaidia ulipofeli wewe.Ndio maana nakuita fala.
Ours 66 yearsLife expectancy ya Kevya ni miaka mingapi?
Wewe soja, hiyo picha ya juu ni South Africa bana😂😂This is what we call the difference between Tz and other poor country in East Africa. View attachment 2209916View attachment 2209917
Cargo center ya JKIA pekee inatoshana na JNIA yote.
Tuonyeshe yenu ya 10km
Tanzania ni 72 now
kwa hivo blue ni neno la Kiswahili? Enyewe fala ni fala tu. Carry on. 🚮 🚮 🚮Fala nani sasa anayeshindwa kutofaitisha majina kwa kiswahili ama? Huoni nimekusaidia hapo unapaswa unishukuru kukusaidia ulipofeli wewe.
Ndege nne ndio unashangilia?😂😂😂 Ebu linganisha ni JKIA 😂😂Mwambie ahesabu ndege ngapi zipo kwa bridge![]()
Mifukara ya mwisho. Lakini Ile kelele wanapiga humu ndani!!!Tanzania hawana pesa ya kununua plot Nairobi, usiwacheke. By the way Uganda wana embassy kwenye compound yake. Hata Somalia wana embassy ndani ya compound yake. Lakini lazy bones wanajaribu kujenga skyscraper Nairobi na hata kujenga embassy imewashinda wamebaki kurent 9th floor ya Reinsurance plaza.
![]()
Tanzania Begins Work on 22-Storey Twin Towers in Nairobi
The office complex in Upper Hill will be known as Tanzania Towers.www.constructionkenya.com