The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
Ukiondoa Zimbabwea yenye special cases na yenye inflation kubwa kupita Nchi zingine zote Africa,the rest maishayao ni bora zaidi kushinda Nchi zetu za EAC..
Kwa hiyo hicho kipimo ni sahihi kwa sababu ndio basic na hata uki offset na other parameters kama HDI bado wako vizuri.
Kwa hiyo hicho kipimo ni sahihi kwa sababu ndio basic na hata uki offset na other parameters kama HDI bado wako vizuri.
Lkn mambo yenu ya uchumi huwa siyaelew.. umeona per capita ya zimbabwe(2300), djibout(3775), namibia(5016) na republic of congo(3242) wamewazid nyie (2251)? Hio ni kweli kuwa uchumi wa mtu mmoja wa hizo nchi ni bora kuliko nyie? Au kuliko Tanzania(1260)
Naelewa kuwa per capita ni GDP per population.. lkn kusema per capita ni unafuu/utajir/uchumi wa mwananch mmoja mmoja ni kujidanganya..haina uhalisia