Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kwamba unapinga kwamba hilo basi lilikuwa assembled in Kenya au nini? AVA is one of the biggest assembers in Kenya na ipo Mombasa. Unaweza kuona neno AVA limeandikwa kwenye hilo basi.
Point yangu ni kwamba ni kwanin hayo mabus hamtumii hko kwenu mnaishia kuuzia watu tu.. nin kinachoshindikana? Sijasema hayapo kabisa!

Logic rahis ni kwamba, kama hayo mabus mnatengeneza nyiny, mnamtandao mkubwa wa barabara, na mna idadi kubwa ya watu wakipato cha kati,, nilitegemea mabus ya maana mengi kwa county zte (atleast 90%)

Ni kama sis tunaposema tunawauzia mchele, si mnaona hku mchele upo mwingi?

Sas tueleze nin shida hko kwenu.. Ni kwann bdo mnabanana kwenye mmaisuzu yenye kutu



Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Capital of EAC
download.jpeg
 
By the way next year itakuwa tamu. Kenya itakuwa $120 billion na Tanzania itakuwa around $81 billion. Total gdp ya Kenya na Tanzania by next year itakuwa zaidi ya $200 billion. Yaani sisi mandugu tunachukiana sana lakini sisi ni masuperpower wadogo hapa Africa. Uchumi hizi mbili zikishikana ni zaidi ya $200 billion.
Cc Simon.
Mimi nmefurahi tumewashinda Ghana...sasa tunakimeo cha Ethiopia apo Juu...$105B-$77B kipande kipo....tutawakata taratibu hadi kieleweke...
 
Nigeria wameshatinga $500 billion Jesus Christ. Halafu hapa JF huwa mnaichukia Nigeria sijui ni kwa nini. Wale watu wako aggresive sana mimi sina tatizo nao.
Yani Nigeria gdp yao iko level za Thailand ila Thailand wako na maendeleo makubwa kuwazidi...uchumi wa Nigeria umeegemea tu kwenye mafuta sector zingine zinatoa mchango kiduchu kwenye gdp yao....siku Tz tukiwa na gdp kama iyo basi ujue kila mtanzania anaishi level za Austria
 
Mimi nmefurahi tumewashinda Ghana...sasa tunakimeo cha Ethiopia apo Juu...$105B-$77B kipande kipo....tutawakata taratibu hadi kieleweke...
Ethiopia ni wabaya. Wao wana vita na uchumi wao bado unakuwa. Wakimaliza vita yao watatukimbiza sisi Kenya kama tumewaibia pesa yao. Usicheze na uchumi wa watu 110 million. Ni muda tu Ethiopia ichukue nafasi yake nyuma ya Algeria. Nchi zenye watu wengi huwa ni muda tu wachukue nafasi yao juu ya nchi zenye watu wachache. Kwa muda hapa Afrika SA ndio ilikuwa inatamba japo ina watu 1/4 ya Nigeria lakini Nigeria ilikuja ikachukua nafasi yake ya kwanza Afrika. Vile vile in 1970 China ilikuwa number 9, sasa hivi ipo number 2 na ni muda tu kabla hawajachukia number 1. Vile vile India ilikuwa number 10 lakini sasa ipo number 6 na ni muda tu ichukue nafasi yake number 3 na hatimaye 2.
 
Back
Top Bottom