Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi, Mombasa, Kisumu na Eldoret zote zina handle international flights. Soon Malindi will also join the list specifically, for tourists in the North Coast area.
Hata Mwanza, Songwe na Chattle zote zina handle International flights pia
 
By the way next year itakuwa tamu. Kenya itakuwa $120 billion na Tanzania itakuwa around $81 billion. Total gdp ya Kenya na Tanzania by next year itakuwa zaidi ya $200 billion. Yaani sisi mandugu tunachukiana sana lakini sisi ni masuperpower wadogo hapa Africa. Uchumi hizi mbili zikishikana ni zaidi ya $200 billion.
Cc Simon.
Next year Tanzania will rebase the gdp might increase to over 100bn
 
Yani Nigeria gdp yao iko level za Thailand ila Thailand wako na maendeleo makubwa kuwazidi...uchumi wa Nigeria umeegemea tu kwenye mafuta sector zingine zinatoa mchango kiduchu kwenye gdp yao....siku Tz tukiwa na gdp kama iyo basi ujue kila mtanzania anaishi level za Austria
Ikiwa TZ mtatinga $500 billion na population yenu iwe chini ya watu 100 million then ni kweli Mtanzania mmoja mmoja atakuwa tajiri mno. Kila Mtanzania atakuwa anamiliki gari. Lakini ikiwa gdp yenu itatinga $500 billion lakini kwa bahati mbaya iwe kwamba mumezaliana kama panya na kufika watu 300 million basi tegemea umasikini kubaki pale pale. Hii ndio sababu China walisema kila familia izae mtoto mmoja tu ili uchumi unapokua by 10% kila mwaka basi mapato ya kila familia inaongezeka lakini ikiwa kwamba kila mwaka kuna mdomo mpya umezaliwa ya kukula chakula ndani ya familia basi mapato ya familia yanakwenda chini.
Wachina waliwaza kiuchumi zaidi. Sasa hivi bila kupanga uzazi, population ya China ingekuwa 2 billion people na kila Mchina angekuwa masikini wa kutupwa. Sasa India ambao hawapangi uzazi watapita China kwa wingi wa watu soon na japo uchumi wa India unakuwa kwa kasi, idadi ya watu pia inakuwa kwa kasi kwa hivyo umasikini wa India utabakia pale pale.
 
Ena & Buscar as usual

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
You need another one?

1650780071953.jpg


1650780049665.jpg


1650780054557.jpg


1650780058922.jpg


1650780066538.jpg


1650780087574.jpg


1650780093206.jpg
 
Ikiwa TZ mtatinga $500 billion na population yenu iwe chini ya watu 100 million then ni kweli Mtanzania mmoja mmoja atakuwa tajiri mno. Kila Mtanzania atakuwa anamiliki gari. Lakini ikiwa gdp yenu itatinga $500 billion lakini kwa bahati mbaya iwe kwamba mumezaliana kama panya na kufika watu 300 million basi tegemea umasikini kubaki pale pale. Hii ndio sababu China walisema kila familia izae mtoto mmoja tu ili uchumi unapokua by 10% kila mwaka basi mapato ya kila familia inaongezeka lakini ikiwa kwamba kila mwaka kuna mdomo mpya umezaliwa ya kukula chakula ndani ya familia basi mapato ya familia yanakwenda chini.
Wachina waliwaza kiuchumi zaidi. Sasa hivi bila kupanga uzazi, population ya China ingekuwa 2 billion people na kila Mchina angekuwa masikini wa kutupwa. Sasa India ambao hawapangi uzazi watapita China kwa wingi wa watu soon na japo uchumi wa India unakuwa kwa kasi, idadi ya watu pia inakuwa kwa kasi kwa hivyo umasikini wa India utabakia pale pale.
Umeongea vizur sana...kupanga uzazi ni elimu zaidi itolewe mtu mwenyewe apange kulingana na uwezo wake...usisahau pia hapa Tz bado kuna ndoa za wake wengi(polygamy) kwahyo kuzaa ni suala la mtu binafsi ajiangalie na uwezo wake....hizi sera za elimu bure bima kwa watanzania wote nk ndio zinawapabaadhi ya watu ujinga wa kudhani maisha ni mepesi...Mtu anasahau kuna mavazi, Makazi bora,vyakula nk ambavyo serikali haiwezi kukupa kama hisani
 
Yani Nigeria gdp yao iko level za Thailand ila Thailand wako na maendeleo makubwa kuwazidi...uchumi wa Nigeria umeegemea tu kwenye mafuta sector zingine zinatoa mchango kiduchu kwenye gdp yao....siku Tz tukiwa na gdp kama iyo basi ujue kila mtanzania anaishi level za Austria
GDP sio kipimo halisi cha maendeleo ila what is on the ground is what matters. Purchasing power parity iko vizuri katika kuainisha maendeleo
 
Ethiopia ni wabaya. Wao wana vita na uchumi wao bado unakuwa. Wakimaliza vita yao watatukimbiza sisi Kenya kama tumewaibia pesa yao. Usicheze na uchumi wa watu 110 million. Ni muda tu Ethiopia ichukue nafasi yake nyuma ya Algeria. Nchi zenye watu wengi huwa ni muda tu wachukue nafasi yao juu ya nchi zenye watu wachache. Kwa muda hapa Afrika SA ndio ilikuwa inatamba japo ina watu 1/4 ya Nigeria lakini Nigeria ilikuja ikachukua nafasi yake ya kwanza Afrika. Vile vile in 1970 China ilikuwa number 9, sasa hivi ipo number 2 na ni muda tu kabla hawajachukia number 1. Vile vile India ilikuwa number 10 lakini sasa ipo number 6 na ni muda tu ichukue nafasi yake number 3 na hatimaye 2.
Ethiopia walikuwa na mchezo wa ku over inflate economic indicators zao wanayo hiyo kashfa na wali hire PR company specifically kwa kutangaza huo upuuzi wao ili kuvutia investors.
 
Ethiopia walikuwa na mchezo wa ku over inflate economic indicators zao wanayo hiyo kashfa na wali hire PR company specifically kwa kutangaza huo upuuzi wao ili kuvutia investors.
Hata nimeshangaa kwamba uchumi wao ulikuwa licha ya wao kupigana vita kikali vya kuharibu mali. Vita hivyo viliharibu mashule, mahospitali na kadhalika. Siamini hii data ya Ethiopia.
 
Hata nimeshangaa kwamba uchumi wao ulikuwa licha ya wao kupigana vita kikali vya kuharibu mali. Vita hivyo viliharibu mashule, mahospitali na kadhalika. Siamini hii data ya Ethiopia.
Waache waendelee kupigana tutawapita wamesimama...Hata sisi tunamiradi ya kimkakati ambayo ikianza kufanya kazi uchumi utastawi sana...miradi kama ya bwawa la Nyerere,Sgr na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kunaifungua nchi kwa kasi sana....Tunaendelea kwa kasi from 77 kwenda 100 sio kazi kubwa...kazi kubwa ilikua kufika hapo
 
afu wew dogo [mention]Teargas [/mention] watu wanadiscuss vitu vya maana wew unaleta mapicha ya magar.. jiheshimu au nenda kwa madogo wenzio huko mtaan mkacheze
Wewe ushaidiscuss kitu Cha maana hapa kweli? These buses are important because we assemble them here in Kenya then sell to Tanzania. Just say that you are tired with the reality ntkuelewa.
 
GDP sio kipimo halisi cha maendeleo ila what is on the ground is what matters. Purchasing power parity iko vizuri katika kuainisha maendeleo
Indicator zipo nyingi nafaham lakini gdp ni mojawapo....Hatujasema gdp pekee ndio inatosha
 
Ethiopia walikuwa na mchezo wa ku over inflate economic indicators zao wanayo hiyo kashfa na wali hire PR company specifically kwa kutangaza huo upuuzi wao ili kuvutia investors.
The problem with you unaongelea what you are not sure of. Sasa ukiambiwa to provide the evidence of what you are saying will do it?
 
Waache waendelee kupigana tutawapita wamesimama...Hata sisi tunamiradi ya kimkakati ambayo ikianza kufanya kazi uchumi utastawi sana...miradi kama ya bwawa la Nyerere,Sgr na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kunaifungua nchi kwa kasi sana....Tunaendelea kwa kasi from 77 kwenda 100 sio kazi kubwa...kazi kubwa ilikua kufika hapo
Ni kweli. Kenya kutoka $77b hadi $100b tuliipiga kwa miaka mitatu au minne. Kabla Samia kuondoka uongozini sioni ni kwa nini msifike $100b.
 
Back
Top Bottom