Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

...

E8mseRtXoAUA5t8.jpg


DkKEIq5X0AEI9eB.jpg


FQuOIC2WUAoxcN2.jpg


FRU3dPbXwAAladt.jpg
 
By the way next year itakuwa tamu. Kenya itakuwa $120 billion na Tanzania itakuwa around $81 billion. Total gdp ya Kenya na Tanzania by next year itakuwa zaidi ya $200 billion. Yaani sisi mandugu tunachukiana sana lakini sisi ni masuperpower wadogo hapa Africa. Uchumi hizi mbili zikishikana ni zaidi ya $200 billion.
Cc Simon.
GDP ya Tz ni $150bn, mwaka 2025 tutakuwa tushagonga $200bn baada ya electrifitried SGR, na JNHPP, kukamilika.
 
Ikiwa TZ mtatinga $500 billion na population yenu iwe chini ya watu 100 million then ni kweli Mtanzania mmoja mmoja atakuwa tajiri mno. Kila Mtanzania atakuwa anamiliki gari. Lakini ikiwa gdp yenu itatinga $500 billion lakini kwa bahati mbaya iwe kwamba mumezaliana kama panya na kufika watu 300 million basi tegemea umasikini kubaki pale pale. Hii ndio sababu China walisema kila familia izae mtoto mmoja tu ili uchumi unapokua by 10% kila mwaka basi mapato ya kila familia inaongezeka lakini ikiwa kwamba kila mwaka kuna mdomo mpya umezaliwa ya kukula chakula ndani ya familia basi mapato ya familia yanakwenda chini.
Wachina waliwaza kiuchumi zaidi. Sasa hivi bila kupanga uzazi, population ya China ingekuwa 2 billion people na kila Mchina angekuwa masikini wa kutupwa. Sasa India ambao hawapangi uzazi watapita China kwa wingi wa watu soon na japo uchumi wa India unakuwa kwa kasi, idadi ya watu pia inakuwa kwa kasi kwa hivyo umasikini wa India utabakia pale pale.
Kwa Tz hata tukifika 200ml, kwa GDP ya 500bl, amini utajiri utakuwa mkubwa mnooo
 
Waache waendelee kupigana tutawapita wamesimama...Hata sisi tunamiradi ya kimkakati ambayo ikianza kufanya kazi uchumi utastawi sana...miradi kama ya bwawa la Nyerere,Sgr na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami kunaifungua nchi kwa kasi sana....Tunaendelea kwa kasi from 77 kwenda 100 sio kazi kubwa...kazi kubwa ilikua kufika hapo
Na hapo bado vitu km LNG, Bomba la mafuta,utali, mchumchuma liganga
 
Wewe ushaidiscuss kitu Cha maana hapa kweli? These buses are important because we assemble them here in Kenya then sell to Tanzania. Just say that you are tired with the reality ntkuelewa.
We kichwa maji body modification sio kutengeneza gari...utakuwa lini wemwanafunzi
 
i got perturbed yesterday when tuusan of all the pple, said tht kenya has only one notable road ie. Thika road 👇🏽
Screenshot_20220502-192649_Chrome.jpg
Screenshot_20220430-231345_Chrome.jpg

na je, Southern bypass, Eastern bypass, Limuru rd, Outering rd, Mombasa rd even without expressway!, aliziwacha wapi.? the fact still remain no road in bongoland can dare come close to these other roads outside of thika superhghwy👇🏽

limuru rd
Screenshot_20220502-193454_Gallery.jpg


eastern bypass, outering rd
Screenshot_20220502-193239_Gallery.jpg

Screenshot_20220502-024321_Earth.jpg


mombasa rd
Screenshot_20220502-194009_Gallery.jpg


southern bypass
Screenshot_20220502-193014_Gallery.jpg
 
By the way next year itakuwa tamu. Kenya itakuwa $120 billion na Tanzania itakuwa around $81 billion. Total gdp ya Kenya na Tanzania by next year itakuwa zaidi ya $200 billion. Yaani sisi mandugu tunachukiana sana lakini sisi ni masuperpower wadogo hapa Africa. Uchumi hizi mbili zikishikana ni zaidi ya $200 billion.
Cc Simon.
Hatuchikiani bhuana, nyie ni ndugu zetu kabisa, sema tatizo ni hii mipaka ya wazungu. Battle la maendeleo ni zuri inasaidia kupush kila mmoja wetu fazeee [emoji38]
 
Back
Top Bottom